East African Eagle
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 3,759
- 2,209
Chadema kwa sasa iko hali mbaya kifedha baada ya kubwagwa na wafadhili wake wengi walipogundua kuwa CHADEMA kumejaa mchwa wala hela za wafadhili.
Mfadhili mmoja alishtuka alipokuja nchini kukuta anakartibishwa hotelini kwa mazungumzo badala ya ofisi ya Chama. Alipowaambia tukafanyie mazungumzo ofisi ya CHAMA wakasingizia kuwa ofisi iko kwenye ukarabati mkubwa.Baadaye mwenyewe aliamua peke yake kuchukua gari ya kukodi ya tours ili wampeleke ofisi ya makao makuu ya CHADEMA ilipo.Alichokiona hakuamini macho yake na alipoambiwa kengo lile sio mali ya CHADEMA wamepanga na akakuta hamna cha ukarabati wala nini aliandika ripoti mbovu mno na alipiga picha ya hicho kiofisi iliyokimbiza wafadhili wengi.
Sasa hivi Lowasa waliyekuwa wakimwita fisadi usiku na mchana wanamlilia ajiunge nao lengo si kuwa wanamtaka Lowasa wanaitaka hela yake waitafune barabara na iwasaidie bila kujali Lowasa atashinda au hashindi.Katika mazungumzo Lowasa hata kama atataka kwenda huko awaulize CHADEMA wamejiandaaje upande wa kifedha za kampeni za kumfanyia kampeni aone jinsi watakavyoanza kujishebedua.CHADEMA wameshawaambia hata baadhi ya wagombea ubunge kuwa safari hii kila mtu atabeba mzigo wake wa gharama wasitegemee kuna helikopta ya Mheshimiwa mwenyekiti mbowe ya kuwabebea hizo gharama.
Pesa ya Lowassa inawindwa hasa.Na huko CHADEMA kuna mchwa wala hela wanaokula kavukavu bila hata kunywa maji kidogo ya kuteremshia tonge.Anyway hela ni zake ana uhuru wa kuzitumia atakavyo lakini kumpa angalizo si vibaya.
Mfadhili mmoja alishtuka alipokuja nchini kukuta anakartibishwa hotelini kwa mazungumzo badala ya ofisi ya Chama. Alipowaambia tukafanyie mazungumzo ofisi ya CHAMA wakasingizia kuwa ofisi iko kwenye ukarabati mkubwa.Baadaye mwenyewe aliamua peke yake kuchukua gari ya kukodi ya tours ili wampeleke ofisi ya makao makuu ya CHADEMA ilipo.Alichokiona hakuamini macho yake na alipoambiwa kengo lile sio mali ya CHADEMA wamepanga na akakuta hamna cha ukarabati wala nini aliandika ripoti mbovu mno na alipiga picha ya hicho kiofisi iliyokimbiza wafadhili wengi.
Sasa hivi Lowasa waliyekuwa wakimwita fisadi usiku na mchana wanamlilia ajiunge nao lengo si kuwa wanamtaka Lowasa wanaitaka hela yake waitafune barabara na iwasaidie bila kujali Lowasa atashinda au hashindi.Katika mazungumzo Lowasa hata kama atataka kwenda huko awaulize CHADEMA wamejiandaaje upande wa kifedha za kampeni za kumfanyia kampeni aone jinsi watakavyoanza kujishebedua.CHADEMA wameshawaambia hata baadhi ya wagombea ubunge kuwa safari hii kila mtu atabeba mzigo wake wa gharama wasitegemee kuna helikopta ya Mheshimiwa mwenyekiti mbowe ya kuwabebea hizo gharama.
Pesa ya Lowassa inawindwa hasa.Na huko CHADEMA kuna mchwa wala hela wanaokula kavukavu bila hata kunywa maji kidogo ya kuteremshia tonge.Anyway hela ni zake ana uhuru wa kuzitumia atakavyo lakini kumpa angalizo si vibaya.