CHADEMA: Hatuchukui tena makapi toka CCM

CHADEMA: Hatuchukui tena makapi toka CCM

dokta slaa tafadhali achaneni na mpango wa kumchukua lowasa ni fedheha kwa chama na upinzani kiujumla. tujifunze kwa nccr walipomchukua mrema 1995.
 
Mwaka huu tunachukua mkuu gwamaka aswile Lengo ni kumgong'oa kwanza mkoloni mweusi CCM pmj na vibaraka wake. Subirini sindano iwaingie vizuri ndio mtajua Edward Lowassa ni nani
 
Last edited by a moderator:
dokta slaa tafadhali achaneni na mpango wa kumchukua lowasa ni fedheha kwa chama na upinzani kiujumla. tujifunze kwa nccr walipomchukua mrema 1995.


Lowassa tunamchukua. Hapa mnapoteza tu muda. Mie niko jikoni mipango yote imeshakamilika. Na tunaenda kushinda uchaguzi mkuu
 
hivi ikitokea lowasa akafariki muda huu chama gani kitaingia hasara na kipi kita pata faida?


"SITAWAANGUSHA"
 
Dr Slaa yupo kwenye wakati ngumu kuliko hata Edo

Kababu kameuzwa na wazee wa kwa Tarakea sasa kanalazimishwa kutoa singo mpya ya kumsafisha mamvi ..huyu mzee ajiuzuru tu kuwa katibu mkuu make wenye chama wamemgeuka
 
Dr Slaa yupo kwenye wakati ngumu kuliko hata Edo

Kwa kubakiza heshima yake ajiuzulu tu.

Lissu,Mnyika,Halima Mdee pamoja na Dr.Slaa,kwa kubakiza heshima yenu ndogo iliyobaki achieni madaraka ndani ya chama mmbaki kama wanachama wa kawaida tu.Vinginevyo mnazama na CDM
 
Dr Slaa yupo kwenye wakati ngumu kuliko hata Edo

Hakuna wakati mgumu wala nini,kuamua tu,jamani mchukueni Lowassa lakini mimi nitabaki Mwanachama wa kawaida.Period.Anabaki na heshima yake.

Lakini leo nikikutana naye barabarani nitamuuliza tofauti yake na Chenge?Na pili amenunuliwa kwa shilingi ngapi kumwachia FISADI chama?
 
Walitamba ,wakaapa hadi mishipa ya povu inawatoka,ooh hatuwezi kuchukua makapi ya ccm,haya liko wapi na leo ndio boss wenu
 

Attachments

  • 1440044114303.jpg
    1440044114303.jpg
    44.4 KB · Views: 460
Mkwere original kapagawa na makapi eti mafuriko ni ya kutengeneza kwa mkono.
 
Heee heeee vifaaaaaa kaaazi kweli kweli,mtanyooooka mwaka huu na makapi yenu
 
Acha kukariri wewee,
Siasa zina dynamics na timing.
CDM inaenda na nyakati, ccm imedumaa hivyohivyo tangu uhuru hadi leo.
 
We mtoa mada mbona unatuletea mambo yaliyopitwa na wakati?
 
Kwa msimamo kama huu Dr Slaa asingeweza kuendelea kubaki Chadema. Na tena kumbe neno 'makapi' walilianzisha wao chadema, leo hii wanalilalamikia.
 
Back
Top Bottom