kitalolo
JF-Expert Member
- Dec 4, 2006
- 1,827
- 707
jamani chadema imekuwaje baadhi ya maeneo tunasikia hakuna mawakala sasa mnategema nini si mtakuja kutulalamikia baadae kuwa kura zetu zimechakachuliwa? kwamfano huko simanjiro kwenye kata ya shambarai hakuna hata kituo kimoja chenye wakala wa chadema watueleze kulikoni hapo pamenikatisha tamaa kabisa ya ushindi niliokuwa nautegemea