Chadema Hapa mmebugi. Kubalini matokeo

Ni muhimu sasa akina Mbowe na Lissu wajitathmini wenyewe kama bado wana uhalali wa kuwa viongozi baada ya kukiuza chama kwa maccm kijinga vile?
Hivi aliyekuwa na akili ni Dr wakati ule ni Dr tu?
 
Hata makanisani pia kuna watu wanaasi na kurejea tena kwenye mabaa. That's normal.
Shida ya hawa, waliasi kwa kusaidiwa na Askofu mkuu wa kanisa na wachungaji wake.
Waumini tumebaki njia panda.
 
Nasubiri kwa hamu nisikie kwenye kampeni huyu Jiwe anasemaje kuhusu majizi yaliyokimbilia Chadema na sasa yamekimbilia CCM, anatoa kauli gani?
 
Hizi ni akili au matope?

Yani mtu alikuwa mgomea urais, mwingine katibu mkuu na mliwadekia hata barabara, leo unawaita wana akili kisoda?

Acha mbowe aendelee kujilia ruzuku maana mijitu anayoiongoza ipo kama mizoga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…