Chadema Hapa mmebugi. Kubalini matokeo

BASIASI

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2010
Posts
9,732
Reaction score
5,010
Siasa n upendoo mtu anaruhusiwa kuhama ama kuhamia chama anachotaka
Mlikodi na mabasi na helicopter SIKU lowassa anaingia lwenu CCM awakupiga KELELE

Like wise zamu yenu mkiona hamahamaa inaendelea msihukumu tafuteni udhaifu ukowapi kwann watuwaliokuwa na hadhi zaoo wahame .....

Poleni sana kinachotokea march12-15 April hio gharika IPO mtalia kabisa watakaohama hukoo
 
Likewise na ccm walivyo kuwa wanawatukana wale walio kuwa wanahamia upinzani na kuwaita majina ya ajabu ajabu na wale vijana wao wa mitandaoni wakawatukana kina Lowasa.

Ukiwa muongo usiwe msahaulifu kuleni matapishi yenu tu
In God we Trust
 
Likewise na ccm walivyo kuwa wanawatukana wale walio kuwa wanahamia upinzani na kuwaita majina ya ajabu ajabu na wale vijana wao wa mitandaoni wakawatukana kina Lowasa.

Ukiwa muongo usiwe msahaulifu kuleni matapishi yenu tu

In God we Trust
kamanda mnatafuna vyuma lazima memo yang'oke
 
Kung'oka mmeanza nyinyi maana tayari mmekula matapishi yenu hasa wewe ambaye ulikuwa unamtukana sana mzee Lowasa matusi ya nguoni.

Lkn sasa hivi mwenyekiti wenu kaamua kukung'oa meno yako kwa kumrudisha lowasa ndani ya ccm.

In God we Trust
mkikaza shingo zitakatika,karma inawatafuna, Mbowe ni Mrema ajaye mwaka 2025
 
Post mzuri sana
In God we Trust
 
CC:Wakudadavua
In God we Trust
 
Mimi huwa nacheka sana nikisoma hizi siasa uchwara yaani siku Lowassa anaingia chadema protoco ilivunjwa na mwenyekiti akaenda kumpokea Lowassa wakati hakuna hata mwanachama...!!!

Leo tunaambiwa ana akili kisoda sasa kati ya Lowassa na mbele nani ana akili kusoma?

Na mwenyekiti anasema alichoangalia ni Lowassa kaja na mtaji sasa huo mtaji hayo yanayotokea si ndio majibu yake?
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mbowe aliliona hilo mapema na ndiyo maana walipotaka kuingia ndani zaidi li wakamate chama, akashtuka na kuwaambia wajumbe kuwa sumu hailambwi, na huwezi kikiachia chama watu wasio kuwa na uchungu nacho maana hicho chama kimejengwa kwa jasho na kwa damuza watu wengi.
 
Mapema ilikuwa 2015 lakini akaingia cha kike....!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utasemaje hili kutoka chama lizee?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na matapishi huwa hayahitaji meno maana ni uji wanakunywa tu
Kung'oka mmeanza nyinyi maana tayari mmekula matapishi yenu hasa wewe ambaye ulikuwa unamtukana sana mzee Lowasa matusi ya nguoni.

Lkn sasa hivi mwenyekiti wenu kaamua kukung'oa meno yako kwa kumrudisha lowasa ndani ya ccm.

In God we Trust

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…