hugochavez
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 1,907
- 1,009
Published on Mar 12, 2013
Video; mikakati ya mateso ya kibanda na mwandishi mwandamizi wa gazeti la mwananchi; mhusika mkuu huyu hapa. Kwa muda sasa hapa tanzania kumekuwepo na matukio ya kusikitisha ya kuteka na kutesa wanaharakati wa haki za binadamu akina mwangosi, ulimboka na wengine..
Sisi wazalendo na wapenda amani ya tanzania tunasema tumechoka na sasa basi tunaweka wazi kila kitu ili umma ujue kinachoendelea..kweli daima itakuweka huru... video hii inaonyesha sehemu tu ya matukio yaliyokwishatekelezwa na chadema , mpango mzima ukiratibiwa na mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa chama willifred lwakatare kwa maelekezo ya mwenyekiti mh.
Mbowe na katibu mkuu dr slaa. Katika video hii lwakatare anatoa maelekezo kwa kijana wake kwenda kutekeleza utekaji wa mwandishi wa kampuni ya mwananchi huku akitolea mfano wa matukio ambayo chama kiliyatekeleza kama lile la igunga ambapo mussa tesha alimwagiwa tindikali na lile la morogoro ambapo kijana mmoja alifariki katika vurugu za maandamano ya chadema ambapo polisi walitoa taarifa kuwa kijana huyo ameangukiwa na kitu kizito. Hii video ni sehemu tu ya video zingine ambazo tutazitoa wakati muafaka ukifika..
okey karibu sana tunasubiri mchango wako..Niko kwenye jam hapa Tazara, nitacheki nikifika home, driving & browsing is dangerous!
Kutokana na hii clip naanza kupata mwanga.... Huyo aliyeiposti hii clip LAZIMA atakakuwa kwa njia moja ama nyingine anahusika. Baada ya kuipata, akaamua kumshambulia Kibanda ili ionekane mzungumzaji kwenye hii clip ndie muuaji.... Kwa hiyo hata Ridhiwani alipoposti ile kejeli facebook alikuwa na maana kubwa sana na huenda anajua undani wa kila kitu...Naona kuna jamaa anasemwa kuwa ni mkali wa kuchonga plan lakini haonekani mahali!!!
This may turn out to be very interesting...
Kuna jinsi ya kuweza kujua hii video imepigwa lini?
undani ni kwamba kitengo cha usalama(utekaji)chadema kinahusika sana,inabidi turudi nyuma mpaka kwenye kifo cha chacha wangwe,pengine huyu bwana ndio aliengineer ile "ajali"Kutokana na hii clip naanza kupata mwanga.... Huyo aliyeiposti hii clip LAZIMA atakakuwa kwa njia moja ama nyingine anahusika. Baada ya kuipata, akaamua kumshambulia Kibanda ili ionekane mzungumzaji kwenye hii clip ndie muuaji.... Kwa hiyo hata Ridhiwani alipoposti ile kejeli facebook alikuwa na maana kubwa sana na huenda anajua undani wa kila kitu...
Kutokana na hii clip naanza kupata mwanga.... Huyo aliyeiposti hii clip LAZIMA atakakuwa kwa njia moja ama nyingine anahusika. Baada ya kuipata, akaamua kumshambulia Kibanda ili ionekane mzungumzaji kwenye hii clip ndie muuaji.... Kwa hiyo hata Ridhiwani alipoposti ile kejeli facebook alikuwa na maana kubwa sana na huenda anajua undani wa kila kitu...
it's not gonna help either,all in all huyo anaezungumza ni mkuu wa kitengo cha usalama(utekaji)cha chadema,anaitwa wilfred lwakatare,that is a reality,sio tetesi..unless aikane video hii,sura yake na sauti yake! michango naona imepungua kwa kuwa chadema kwa video hii imeshikwa pabaya,na naishangaa polisi kumuacha huyu muuaji akiendelea kutamba mitaani licha ya ushahidi huu wa wazi
Heeeee Jamani mbona mambo mazito sana haya! Kumbe aliyoyaema Zitto ni ya kweli? Kumbe hata kule Igunga walifanya wakaumiza mtu akapata sympathy toka kwa watu na vyombo vya habari.
Hii inatisha? Hii si mipango myema hata kidogo.
Hii sasa funga kazi