Independent Voter
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 279
- 71
Independent Voter
Mkuu kuna sehemu nimekusoma ukimtaja huyó ndugu kuwa ni mtu hatari sana,unaweza kufafanua kidogo.
Ni bingwa wa kupanga na kutekeleza mikakati kama hii ya ku silence watu hata kule zanzibar kawafanyia mambo mengi sana cuf.Kma chadema ikishika madaraka(mungu apishie mbali) ndio atakua mkuu wa usalama wa taifa