silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
Jamani,, kunawatanzania wanashindwa kuelewa Maana ya Chadema kutoutambua uraisi wa Bwana Kikwete,,
Naomba hapa tuwekane sasa Chadema ilipata wabunge 25, na maanisha na Jimbo la Segerea, lakini cha kushangaza NEC ilitangaza kuwa Chadema iliongoza kwa kura Majimbo Saba tuu.. hiyo ni sababu ya kwanza Chadema kukataa katakata matokeo hayo,,
chadema haikusign kukubali kushinda kwa kikwete lakini NEC bila kujali umuhim wa kuuliza Kwanini Chadema imekataa kusign wakatabngaza na Kumuapisha siku ya piliyake huyo Raisi wao
Kutokana na sababu zingine nyingi sana na za msingi Chadema hawataki kuutambua Uraisi wa Kikwete
Hatuna ugomvi na Kikwete bali na NEC
Naomba hapa tuwekane sasa Chadema ilipata wabunge 25, na maanisha na Jimbo la Segerea, lakini cha kushangaza NEC ilitangaza kuwa Chadema iliongoza kwa kura Majimbo Saba tuu.. hiyo ni sababu ya kwanza Chadema kukataa katakata matokeo hayo,,
chadema haikusign kukubali kushinda kwa kikwete lakini NEC bila kujali umuhim wa kuuliza Kwanini Chadema imekataa kusign wakatabngaza na Kumuapisha siku ya piliyake huyo Raisi wao
Kutokana na sababu zingine nyingi sana na za msingi Chadema hawataki kuutambua Uraisi wa Kikwete
Hatuna ugomvi na Kikwete bali na NEC