J Jews4ever Member Jul 21, 2009 74 0 Sep 9, 2009 #1 Nawapongeza chadema kwa mkakati mzuri wa kutafuta wanachama ndani ya nchi Tanzania. Nashauri waanzishe na mkakati wa kuandikisha uwanachama wa Chadema kwa walioko nje ya nchi.
Nawapongeza chadema kwa mkakati mzuri wa kutafuta wanachama ndani ya nchi Tanzania. Nashauri waanzishe na mkakati wa kuandikisha uwanachama wa Chadema kwa walioko nje ya nchi.
Josh Michael JF-Expert Member Jun 12, 2009 2,523 77 Sep 9, 2009 #2 Kazi nzuri sana na pia wana mikakati kama hiyo