FiQ JF-Expert Member Feb 11, 2011 477 76 Jul 1, 2011 #61 Ibra Mo said: Hiki nikirusi ndani ya Chama atambae zake hana msaada wowote c kwa Chama tu bali kwa Tanzania kwa ujumla. Click to expand... kabisa mkuu, huyu ni Gamba afukuzwe tu,arudi kwa magamba wenzake!
Ibra Mo said: Hiki nikirusi ndani ya Chama atambae zake hana msaada wowote c kwa Chama tu bali kwa Tanzania kwa ujumla. Click to expand... kabisa mkuu, huyu ni Gamba afukuzwe tu,arudi kwa magamba wenzake!
king kan JF-Expert Member May 6, 2011 1,629 2,043 Jul 2, 2011 #62 Huyu jamaa hafai hana hata sifa ya kuwasilisha maslahi ya jamii ndio maana hata magamba wenzie walikataa asigombee uraisi.chadema iliteleza kidogo kuwa na ndumilakuwili lakini we learn through mistakes.
Huyu jamaa hafai hana hata sifa ya kuwasilisha maslahi ya jamii ndio maana hata magamba wenzie walikataa asigombee uraisi.chadema iliteleza kidogo kuwa na ndumilakuwili lakini we learn through mistakes.