Plato
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 420
- 94
Hoja ya msemakweli ina agenda ya siri.wakati ambapo inatolewa,wakati wote alikuwa wapi? Chombo iliporipotiwa,kujiita chadema,ni kwa malengo maalum.ili ionekane sasa kuwa tuhuma zinahusiana na chadema,lakini pia mwana chadema ameitenga kagoda na ccm.ametaja majina ya watu na makusudi kuyatenga na ccm.
Hii ieleweke anawashambulia wabaya wa mengi pekee kwa upande mmoja,na anafanya propaganda za ccm hapohapo.ndiyo maana ya yeye kujiita chadema,na kuwataja kina rostamu na manji kama watu binafsi akiwatenga na ccm kama msekwa na malechela wanavyotaka iwe.
Gazeti la uhuru leo limechekelea sana hoja hiyo
kuna conection na uchaguzi wa igunga ili ccm iseme chama siyo fisadi ila watu binafsi na ushahidi mpya ni huu wa mwanachadema.watu watakuwa bado wanakumbuka hii issue.
Sanze aliyekuwa anasifiwa kutoa andiko kuunganisha mkapa na kikwete ,rostamu na ccm amebezwa.
Msiseme hakuna jipya.lipo.anataka ushahidi wa siku zote unaounganisha ccm na kagoda uonekane feki.
Leo anajifanya anaenda kwa dpp.kwa kuwa ni mpango wa ccm dpp atafungua kesi jumatatu na mahakama itazuia suala la kagoda kujadiliwa igunga.
Nani bado anashangilia mbwembwe za huyu mnafiki? CHADEMA msishangilie ujinga huu wa CCM na msemakweli.toeni msisitizo wa uhusika wa ccm kwa vyombo vya habari mapema kabla hamjapigwa bao tena na ccm.
Msemakweli naye fisadi hatari
Hii ieleweke anawashambulia wabaya wa mengi pekee kwa upande mmoja,na anafanya propaganda za ccm hapohapo.ndiyo maana ya yeye kujiita chadema,na kuwataja kina rostamu na manji kama watu binafsi akiwatenga na ccm kama msekwa na malechela wanavyotaka iwe.
Gazeti la uhuru leo limechekelea sana hoja hiyo
kuna conection na uchaguzi wa igunga ili ccm iseme chama siyo fisadi ila watu binafsi na ushahidi mpya ni huu wa mwanachadema.watu watakuwa bado wanakumbuka hii issue.
Sanze aliyekuwa anasifiwa kutoa andiko kuunganisha mkapa na kikwete ,rostamu na ccm amebezwa.
Msiseme hakuna jipya.lipo.anataka ushahidi wa siku zote unaounganisha ccm na kagoda uonekane feki.
Leo anajifanya anaenda kwa dpp.kwa kuwa ni mpango wa ccm dpp atafungua kesi jumatatu na mahakama itazuia suala la kagoda kujadiliwa igunga.
Nani bado anashangilia mbwembwe za huyu mnafiki? CHADEMA msishangilie ujinga huu wa CCM na msemakweli.toeni msisitizo wa uhusika wa ccm kwa vyombo vya habari mapema kabla hamjapigwa bao tena na ccm.
Msemakweli naye fisadi hatari