Rage kamanda ungemtoboa jicho kabisa Yule Swai ili asikutambue mahakamani mbulula huyo
Rage au Rege? Bangi tupu. Kiboko yake Mzee Kapuya na yule Mzee Ndolanga. Tatizo la wajelajela ndio hilo kwani Nchimbi katuambia 40% ya walioonja jela hupenda kurudi jela. Rage Mjela-jela.
Huyu jamaa ni aina ya wauwaji, maana hainii akilini atembeee na fujo kichwani huku ana bastola kiunoni
siasa kaka umesikia wapi anafungwa mtu wangapi wamefungwa ktk mambo ya siasa hawanakazi za kufanya haowe ndo mbulula........na huyo alshabab subiri tunamfunga sasa.
Wasomali wanaoitafuna Tanzania akiwemo yule anayeua tembo wetuNakosa raha ninavyoona huyu Rage ni mwenyekiti wa timu yangu ya Simba...ama kweli Simba tumeliwa...
Chuki inapofikia kufurahia maumivu ya watu wengine ni jambo la kujiuliza kama tuko kwenye mstari bado ama lah?jamaa wa magwanda kama mgambo alipewa kichapo akawa analia kwa kichaga!
Alifanyaje?Haramia lilishakaa jela sasa linaitafuta tena kwa udi na uvumba