Wewe ni moja ya watanzania wasio na uzalendo au hawajui umuhimu wa mabadiliko! sijui kama ulishafanya cost benefit analysis ya uwepo wa ccm madarakani? je cb anaylsis ya maisha yako umeshafanya, mi naona watu kama nyie hamna faida kwa kizazi hiki. chunga kauli yako!:tape::tape::tape::tape:
kwani hii forum ilitengenezwa kwa ajili ya kuponda ccm na kuktetea chadema. tupeni majibu mimi naunga mkono hoja tupewe cost nina machungu ya kukesha kulinda kura ukonga