Gangongine
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 3,854
- 1,776
Hiyo ni Saccos ya kaskazini, wachumia tumbo tu!Juzi tulisikia huko Tabora Bwana fulani akiwaambia Wananchi kwamba Serikali imekosea badala ya kutatua kero ya Maji inanunua ndege! Inaweza kwa haraka haraka kuonekana na hoja miongoni mwa wenye akili nyepesi. Lakini kwa wanaotafakari kiuchumi zaidi wataona tofauti na hoja za Bwana huyo!
Juzi nikaambiwa na Mzee mmoja kwamba Bwana huyo aliwahi kuwa Serikalini wakati Serikali ikinunua ndege ya Serikali, Rada n.k lakini wakati huo hakujua kama kuna shida ya maji. Pia Mzee huyo akanidokeza kwamba Bwana huyo aliwahi kuwa Waziri Mkubwa na Waziri mwenye dhamana ya Maji na Mifugo, lakini wakati huo hakuona kama Tabora wana tatizo la Maji!
Huko huko kuna Bwana mwingine aliwahi kuwa Waziri mkubwa kwa miaka 10 lakini hakuona tatizo la maji huko Tabora na kwingineko mpaka alipokwenda upande uleeee! Yule Mzee akaniambia kwamba kijana wangu, ukiwa upande huu huwezi kuona mpaka uwe upande ulee! Amesema sababu za kuona vizuri ukiwa kule ni unafiki wa kutaka madaraka kwa gharama yoyote ikiwamo unafiki na kuwafanya watu wajinga! Unaigiza maisha yao ambayo hukuwaza hata siku moja kuyaonja lakini lengo likiwa ni kupata uungwaji mkono!
Utasema Serikali haijafanya chochote tangu tupate uhuru wakati unazurura kwenye Barabara zilizojengwa na Serikali na unalipwa mafao na Serikali unayoitukana! JAMANI! JAMANI! Mungu anawaona lakini kwa unafiki wenu!! Nchi haiwezi kutwaliwa kwa unafiki namna hii!! Mungu anawaona lakini!
Mlidandia hoja ya Katiba ya Wananchi kuombea kura na kwa kweli watu waliaminishwa kwamba mtapigania Katiba, lakini baada ya kuzoa viti vya Madiwani na Wabunge Ajenda hiyo ya Katiba haipo tena! Mungu anawaona lakini ooooh!
Acha maneno,weka [HASHTAG]#Muziki[/HASHTAG] Au urudi utotoni,usipotembea utabebwa mgongoni.Juzi tulisikia huko Tabora Bwana fulani akiwaambia Wananchi kwamba Serikali imekosea badala ya kutatua kero ya Maji inanunua ndege! Inaweza kwa haraka haraka kuonekana na hoja miongoni mwa wenye akili nyepesi. Lakini kwa wanaotafakari kiuchumi zaidi wataona tofauti na hoja za Bwana huyo!
Juzi nikaambiwa na Mzee mmoja kwamba Bwana huyo aliwahi kuwa Serikalini wakati Serikali ikinunua ndege ya Serikali, Rada n.k lakini wakati huo hakujua kama kuna shida ya maji. Pia Mzee huyo akanidokeza kwamba Bwana huyo aliwahi kuwa Waziri Mkubwa na Waziri mwenye dhamana ya Maji na Mifugo, lakini wakati huo hakuona kama Tabora wana tatizo la Maji!
Huko huko kuna Bwana mwingine aliwahi kuwa Waziri mkubwa kwa miaka 10 lakini hakuona tatizo la maji huko Tabora na kwingineko mpaka alipokwenda upande uleeee! Yule Mzee akaniambia kwamba kijana wangu, ukiwa upande huu huwezi kuona mpaka uwe upande ulee! Amesema sababu za kuona vizuri ukiwa kule ni unafiki wa kutaka madaraka kwa gharama yoyote ikiwamo unafiki na kuwafanya watu wajinga! Unaigiza maisha yao ambayo hukuwaza hata siku moja kuyaonja lakini lengo likiwa ni kupata uungwaji mkono!
Utasema Serikali haijafanya chochote tangu tupate uhuru wakati unazurura kwenye Barabara zilizojengwa na Serikali na unalipwa mafao na Serikali unayoitukana! JAMANI! JAMANI! Mungu anawaona lakini kwa unafiki wenu!! Nchi haiwezi kutwaliwa kwa unafiki namna hii!! Mungu anawaona lakini!
Mlidandia hoja ya Katiba ya Wananchi kuombea kura na kwa kweli watu waliaminishwa kwamba mtapigania Katiba, lakini baada ya kuzoa viti vya Madiwani na Wabunge Ajenda hiyo ya Katiba haipo tena! Mungu anawaona lakini ooooh!
Unatumia jina gani la kisanii kughani haya mashairi?Juzi tulisikia huko Tabora Bwana fulani akiwaambia Wananchi kwamba Serikali imekosea badala ya kutatua kero ya Maji inanunua ndege! Inaweza kwa haraka haraka kuonekana na hoja miongoni mwa wenye akili nyepesi. Lakini kwa wanaotafakari kiuchumi zaidi wataona tofauti na hoja za Bwana huyo!
Juzi nikaambiwa na Mzee mmoja kwamba Bwana huyo aliwahi kuwa Serikalini wakati Serikali ikinunua ndege ya Serikali, Rada n.k lakini wakati huo hakujua kama kuna shida ya maji. Pia Mzee huyo akanidokeza kwamba Bwana huyo aliwahi kuwa Waziri Mkubwa na Waziri mwenye dhamana ya Maji na Mifugo, lakini wakati huo hakuona kama Tabora wana tatizo la Maji!
Huko huko kuna Bwana mwingine aliwahi kuwa Waziri mkubwa kwa miaka 10 lakini hakuona tatizo la maji huko Tabora na kwingineko mpaka alipokwenda upande uleeee! Yule Mzee akaniambia kwamba kijana wangu, ukiwa upande huu huwezi kuona mpaka uwe upande ulee! Amesema sababu za kuona vizuri ukiwa kule ni unafiki wa kutaka madaraka kwa gharama yoyote ikiwamo unafiki na kuwafanya watu wajinga! Unaigiza maisha yao ambayo hukuwaza hata siku moja kuyaonja lakini lengo likiwa ni kupata uungwaji mkono!
Utasema Serikali haijafanya chochote tangu tupate uhuru wakati unazurura kwenye Barabara zilizojengwa na Serikali na unalipwa mafao na Serikali unayoitukana! JAMANI! JAMANI! Mungu anawaona lakini kwa unafiki wenu!! Nchi haiwezi kutwaliwa kwa unafiki namna hii!! Mungu anawaona lakini!
Mlidandia hoja ya Katiba ya Wananchi kuombea kura na kwa kweli watu waliaminishwa kwamba mtapigania Katiba, lakini baada ya kuzoa viti vya Madiwani na Wabunge Ajenda hiyo ya Katiba haipo tena! Mungu anawaona lakini ooooh!
ndalama= pesaUnatumia jina gani la kisanii kughani haya mashairi?
Mpumbavu hutamka kile alichoaminishwa na si kile anachokiamini ..Hiyo ni Saccos ya kaskazini, wachumia tumbo tu!
Ninyi endeleeni tu kupandikiza hiyo chuki, mwisho wa siku mtaona madhara yake, na usijidanganye yakitokea machafuko ya ukabila, udini au ukanda kama wewe utakuwa salama, unaona marekani chuki dhidi ya black people kinachowakuta leo hii?Hiyo ni Saccos ya kaskazini, wachumia tumbo tu!
Kuna thread humu ndani mheshimiwa Mwigulu ametuhasa watumiaji wa jukwaa kuandika bandiko tukiwa na data za kutosha... Sijui kama wewe pia umelisoma?Juzi tulisikia huko Tabora Bwana fulani akiwaambia Wananchi kwamba Serikali imekosea badala ya kutatua kero ya Maji inanunua ndege! Inaweza kwa haraka haraka kuonekana na hoja miongoni mwa wenye akili nyepesi. Lakini kwa wanaotafakari kiuchumi zaidi wataona tofauti na hoja za Bwana huyo!
Juzi nikaambiwa na Mzee mmoja kwamba Bwana huyo aliwahi kuwa Serikalini wakati Serikali ikinunua ndege ya Serikali, Rada n.k lakini wakati huo hakujua kama kuna shida ya maji. Pia Mzee huyo akanidokeza kwamba Bwana huyo aliwahi kuwa Waziri Mkubwa na Waziri mwenye dhamana ya Maji na Mifugo, lakini wakati huo hakuona kama Tabora wana tatizo la Maji!
Huko huko kuna Bwana mwingine aliwahi kuwa Waziri mkubwa kwa miaka 10 lakini hakuona tatizo la maji huko Tabora na kwingineko mpaka alipokwenda upande uleeee! Yule Mzee akaniambia kwamba kijana wangu, ukiwa upande huu huwezi kuona mpaka uwe upande ulee! Amesema sababu za kuona vizuri ukiwa kule ni unafiki wa kutaka madaraka kwa gharama yoyote ikiwamo unafiki na kuwafanya watu wajinga! Unaigiza maisha yao ambayo hukuwaza hata siku moja kuyaonja lakini lengo likiwa ni kupata uungwaji mkono!
Utasema Serikali haijafanya chochote tangu tupate uhuru wakati unazurura kwenye Barabara zilizojengwa na Serikali na unalipwa mafao na Serikali unayoitukana! JAMANI! JAMANI! Mungu anawaona lakini kwa unafiki wenu!! Nchi haiwezi kutwaliwa kwa unafiki namna hii!! Mungu anawaona lakini!
Mlidandia hoja ya Katiba ya Wananchi kuombea kura na kwa kweli watu waliaminishwa kwamba mtapigania Katiba, lakini baada ya kuzoa viti vya Madiwani na Wabunge Ajenda hiyo ya Katiba haipo tena! Mungu anawaona lakini ooooh!
Tatizo lako umeamua kuwakabidhi itarahamwe wakuchagulie namna ya kuwaza ..Hivi unadhani kile ni chama cha siasa basi kumbuka hilo ni genge la wapiga dili tu.
Ina maana best huoni? Angalia topNinyi endeleeni tu kupandikiza hiyo chuki, mwisho wa siku mtaona madhara yake, na usijidanganye yakitokea machafuko ya ukabila, udini au ukanda kama wewe utakuwa salama, unaona marekani chuki dhidi ya black people kinachowakuta leo hii?
Data gani kwani wewe hukuangalia Televisheni Wazee wa Tabora wakilalamikia tatizo la Maji kwa Mgombea wa 2015 wa Chama kimoja? Au UKAWA hujui ilianzaje? Au hujui kwamba huko UKAWA kuna Mawaziri Wakubwa wawili na mmoja ameshawahi kuwa Waziri wa Maji na Mifugo? Umesahau hayo au umezaliwa juzi?Kuna thread humu ndani mheshimiwa Mwigulu ametuhasa watumiaji wa jukwaa kuandika bandiko tukiwa na data za kutosha... Sijui kama wewe pia umelisoma?
huwa natamani watanzania wote walielewe hili, lakin basi tu sina jinsi.CDM=CCM tofauti ni kuwa kimoja ni chama tawala kingine ni upinzani.
Mwenye kujua aniambie chimbo alilojificha mbunge wangu mnyikaHivi unadhani kile ni chama cha siasa basi kumbuka hilo ni genge la wapiga dili tu.
CDM=CCM tofauti ni kuwa kimoja ni chama tawala kingine ni upinzani.
Small mind typeHiyo ni Saccos ya kaskazini, wachumia tumbo tu!