Man 4 M4C
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 743
- 114
Wewe gamba na kibaraka mkubwa wa kufikiri kwa makalio tenda endelea kuwa gamba. CCM ndio inazidi kuzama,jiulize kila mnavyopandikiza maneno ndivyo mnavyozidi kukataliwa!!!!!!!!!!!!Habari ndiyo hiyo hata Sumaye wako naye anajua serikali ya magamba ni tatizo. Eti cdm inapoteza mvuto nyoooooooooooooo,nenda mikutanoni nan leo njo Pugu ujionee mwenyewe live shoo.