Lowasa hawezi kuwa rais wa Tanzania chini ya katiba ya 1977. Akikataa matokeo ya uchaguzi ataleta mauaji kwa hiyo msilazimishe watu kuamini kuwa atashinda saa 4 asubuhi kama anavyodai yeye kwenye mikutano yake. Sana sana Ukawa wanamtumia tu awapatie wabunge na madiwani wengi kwani nao wanaamini hafai kuwa rais kwani si mwadilifu.
Lowasa akishindindwa kuupata urais Mzee Mtei na mzee Ndesamburo watampigia Dr Slaa magoti arudi kwenye kazi yake ya ukatibu mkuu na kuimarisha chadema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.