HIVI KWELI YOTE HAYA CHADEMA HAWAKUWA NA UHAKIKA NAYO KUMHUSU LOWASSA?
Swala la Lowassa ni swala ambalo nilinakula kote.
Yaani aidha ni Kweli Lowassa ni Fisadi au Chadema ni wanafiki,Wazandiki na wazushi.
Ili Lowassa au Chadema wabaki salama ni kufanya moja kati ya yafuatayo.
Chadema kupitia mkutano mkubwa wa hadhara waendelee kumtangaza Lowassa kama fisadi papa ili Chadema ijivue na tuhuma za Uzushi,uzandiki na ulaghai wa kisiasa.hapo chadema watakuwa consinstent katika hoja zao.
Kama hawawezi kuendeleza msimamo wao,basi waitishe mkutano na kumsafisha Lowassa kuwa wakati wanamchafua walikuwa wanazusha ,na kufanya siasa za maji taka.
Hapo Lowassa atabaki salama na tutamuamini kuwa ni Kamanda asiekuwa na uchafu.
Vinginevyo ni kuwachezea akili watanzania na kuthibitisha kuwa Chadema ni wajasiliamali wa kisiasa,niwatu wajanjawajanja na wasiofaa kuaminiwa.
Swala la Lowassa ni swala ambalo nilinakula kote.
Yaani aidha ni Kweli Lowassa ni Fisadi au Chadema ni wanafiki,Wazandiki na wazushi.
Ili Lowassa au Chadema wabaki salama ni kufanya moja kati ya yafuatayo.
Chadema kupitia mkutano mkubwa wa hadhara waendelee kumtangaza Lowassa kama fisadi papa ili Chadema ijivue na tuhuma za Uzushi,uzandiki na ulaghai wa kisiasa.hapo chadema watakuwa consinstent katika hoja zao.
Kama hawawezi kuendeleza msimamo wao,basi waitishe mkutano na kumsafisha Lowassa kuwa wakati wanamchafua walikuwa wanazusha ,na kufanya siasa za maji taka.
Hapo Lowassa atabaki salama na tutamuamini kuwa ni Kamanda asiekuwa na uchafu.
Vinginevyo ni kuwachezea akili watanzania na kuthibitisha kuwa Chadema ni wajasiliamali wa kisiasa,niwatu wajanjawajanja na wasiofaa kuaminiwa.