Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
Leo tarehe 07/05/2022 timu ya mabalozi wa Join the Chain ( Join the Chain Ambassadors ) Arusha iliingia ndani ya Soko Kuu Arusha na soko la Kilombero kukusanya michango ya wadau mbalimbali wa chama kupitia program ya kuchangia chama ya Join the Chain.
Wadau wengi walifurahi sana na walijitoa kuchangia chama kwa furaha kubwa.
Zoezi hili la kuchangia chama kupitia program ya Join the Chain litakuwa ni zoezi endelevu. Hivyo mabalozi wa Join the Chain wanawaalika makamanda wengi zaidi kutoka Kanda ya Kaskazini kuendelea kuchangia chama kupitia ununuzi wa tshirt za Join the Chain Ambassadors pamoja na kwenda kwa wadau.
Zoezi hili limeendeshwa na Uongozi wa Mkoa,Mwenyekiti Elisa Mungure
Wilaya,Nanyaro EJ Mwenyekiti,Viola Katibu,baba boni na wengine wengi
Ema Saro Mwenyekiti wa Wilaya ya Siha
Mh Pamela Masay Mbunge wa EALA
Kamanda Dorisi Cornel kutoka jimbo la Hai
na wanachama ambalo limekuwa na mafanikio makubwa sana,
Wananchi wamechangia mia tano,elfu etc na kuonyesha maana halisi ya nguvu ya umma.
Kwa pamoja tuunge mnyororo
Wadau wengi walifurahi sana na walijitoa kuchangia chama kwa furaha kubwa.
Zoezi hili la kuchangia chama kupitia program ya Join the Chain litakuwa ni zoezi endelevu. Hivyo mabalozi wa Join the Chain wanawaalika makamanda wengi zaidi kutoka Kanda ya Kaskazini kuendelea kuchangia chama kupitia ununuzi wa tshirt za Join the Chain Ambassadors pamoja na kwenda kwa wadau.
Zoezi hili limeendeshwa na Uongozi wa Mkoa,Mwenyekiti Elisa Mungure
Wilaya,Nanyaro EJ Mwenyekiti,Viola Katibu,baba boni na wengine wengi
Ema Saro Mwenyekiti wa Wilaya ya Siha
Mh Pamela Masay Mbunge wa EALA
Kamanda Dorisi Cornel kutoka jimbo la Hai
na wanachama ambalo limekuwa na mafanikio makubwa sana,
Wananchi wamechangia mia tano,elfu etc na kuonyesha maana halisi ya nguvu ya umma.
Kwa pamoja tuunge mnyororo