MAKAMANDA!
Najuwa mna majukumu mengi mno ya kuhakikisha tuna mtoa mkoloni mweusi, waTanganyika wote tufaidi Asali na Mana katika nchii hii inayo tiririka kila aina ya neema.
Naomaba kama hakuja anzishwa kitengo cha KUTUNZA KUMBUKUMBU hasa za MAAUAJI YA RAIA yanayo tokana na POLICE, Viongozi wote wanao tumia madaraka yao vibaya kinyume na KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, Mafisadi wote, n.k. Ili siku hiyo ya uhuru wa kweli wa mTanganyika utakapo patikana, basi kila aliyefanya kinyume na KATIBA ya Tanganyika ajibu mbele ya Pilato.
Hili ni muhimu sana ili tusipoteze kumbukumbu.
Nawasilisha.
Najuwa mna majukumu mengi mno ya kuhakikisha tuna mtoa mkoloni mweusi, waTanganyika wote tufaidi Asali na Mana katika nchii hii inayo tiririka kila aina ya neema.
Naomaba kama hakuja anzishwa kitengo cha KUTUNZA KUMBUKUMBU hasa za MAAUAJI YA RAIA yanayo tokana na POLICE, Viongozi wote wanao tumia madaraka yao vibaya kinyume na KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, Mafisadi wote, n.k. Ili siku hiyo ya uhuru wa kweli wa mTanganyika utakapo patikana, basi kila aliyefanya kinyume na KATIBA ya Tanganyika ajibu mbele ya Pilato.
Hili ni muhimu sana ili tusipoteze kumbukumbu.
Nawasilisha.