T2015CCM
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 7,930
- 991
Katika hali isiyotarajiwa chama cha demokrasia na maendeleo kimekula matapishi yake baada ya kuanza kukana kauli zake ambazo ndio zimekijenga chama hicho miaka mingi sasa.
Kauli za kustua wengi hivi sasa ni pamoja na kusema kwamba wao wanapambana na CCM waitoe madarakani na sio wimbi la umasikini wa kipato unaomkabili mtanzania na kwamba sio watu kama Lowassa.
Kwamba Lowassa ni msafi na hana chembe ya doa.
Ndugu mtanzania. CHADEMA ni janga
Kauli za kustua wengi hivi sasa ni pamoja na kusema kwamba wao wanapambana na CCM waitoe madarakani na sio wimbi la umasikini wa kipato unaomkabili mtanzania na kwamba sio watu kama Lowassa.
Kwamba Lowassa ni msafi na hana chembe ya doa.
Ndugu mtanzania. CHADEMA ni janga