Kama si kwa huruma ya JK leo SLAA angekuwa kizuizini.
CDM endeleen kuleta makelele ila nawaonya kuwa nchii hi ina jeshi la kumlinda rais na katiba.
Uchaguzi umeisha makelele ya nini sasa?wanainchi wasiendee shambani wahudhurie maandamano mwisho wa siku wale mavuno yapi?
CDM munatumia kuwaongaa waandishi wa habari uchwara waandike upuuzi wenu ila hamtafua dafu
Mwisho SLAA kazeeka anasumbuliwa na magonjwa ya kizee atawapoteza
kupora mke wa mtu sio aibu??[/B]
hapo bolded ndio pa msisitizo,,,sidhani kama waandishi watakuacha uwatukane hivyo (toa prove ya hao waliohongwa na uwataje)..
bora kusumbuliwa na magonjwa ya uzee kuliko kusumbuliwa na magonjwa ya aibu
Kama si kwa huruma ya JK leo SLAA angekuwa kizuizini.
CDM endeleen kuleta makelele ila nawaonya kuwa nchii hi ina jeshi la kumlinda rais na katiba.
Uchaguzi umeisha makelele ya nini sasa?wanainchi wasiendee shambani wahudhurie maandamano mwisho wa siku wale mavuno yapi?
CDM munatumia kuwaongaa waandishi wa habari uchwara waandike upuuzi wenu ila hamtafua dafu
Mwisho SLAA kazeeka anasumbuliwa na magonjwa ya kizee atawapoteza
kupora mke wa mtu sio aibu??
Kama si kwa huruma ya JK leo SLAA angekuwa kizuizini.
CDM endeleen kuleta makelele ila nawaonya kuwa nchii hi ina jeshi la kumlinda rais na katiba.
Uchaguzi umeisha makelele ya nini sasa?wanainchi wasiendee shambani wahudhurie maandamano mwisho wa siku wale mavuno yapi?
CDM munatumia kuwaongaa waandishi wa habari uchwara waandike upuuzi wenu ila hamtafua dafu
Mwisho SLAA kazeeka anasumbuliwa na magonjwa ya kizee atawapoteza
Bora wamfunge tu huyo mpuuzi slaa, kakosa kiti cha urais sasa anataka kuleta fujo, hii ndio tatizo la makabila yanayo penda fujo.
Bora wamfunge tu huyo mpuuzi slaa, kakosa kiti cha urais sasa anataka kuleta fujo, hii ndio tatizo la makabila yanayo penda fujo.
Kama si kwa huruma ya JK leo SLAA angekuwa kizuizini.
CDM endeleen kuleta makelele ila nawaonya kuwa nchii hi ina jeshi la kumlinda rais na katiba.
Uchaguzi umeisha makelele ya nini sasa?wanainchi wasiendee shambani wahudhurie maandamano mwisho wa siku wale mavuno yapi?
CDM munatumia kuwaongaa waandishi wa habari uchwara waandike upuuzi wenu ila hamtafua dafu
Mwisho SLAA kazeeka anasumbuliwa na magonjwa ya kizee atawapoteza
Kama si kwa huruma ya JK leo SLAA angekuwa kizuizini.
CDM endeleen kuleta makelele ila nawaonya kuwa nchii hi ina jeshi la kumlinda rais na katiba.
Uchaguzi umeisha makelele ya nini sasa?wanainchi wasiendee shambani wahudhurie maandamano mwisho wa siku wale mavuno yapi?
CDM munatumia kuwaongaa waandishi wa habari uchwara waandike upuuzi wenu ila hamtafua dafu
Mwisho SLAA kazeeka anasumbuliwa na magonjwa ya kizee atawapoteza
Hii ndio inaitwa "Freudian Slip" mazee - kuongea ukweli bila ya wewe kujijua!
Hapo kwenye RED:
Kazi mnayo mwaka huu. Stress zitawaumbua, na mtatwambia mengi.
- Hatushangai - ndicho kitu kinachosemwa siku zote hapa na wapenda maendeleo kuwa JK na genge lake wapo kujinufaisha (jeshi linalomlinda rais na si raia).
- Wananchi walitakiwa kwenda kwenye maandamano wakati wa uchaguzi - wakapewe kanga, fulana, kofia na pilau. Uchaguzi umeisha na hivyo havitolewi sasa unashangaa kwa nini CHADEMA wanavuta watu kwenye maandamano na mikutano yao! (Kwako wewe na Magamba wenzako haifikiriki kwamba mtu mwenye akili timamu atavutwa kuacha kazi zake kwenda kusikiliza SERA anazoona zina mlengo wa kubadilisha maisha yake kuwa bora zaidi).
- Imeeandikwa: Mtu huyawaza yaujazayo moyo wake. CHADEMA haina resources za kuhonga waandishi - wawe uchwara au vinginevyo - hiyo ni kazi ya wana Magamba.