Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,262
- 18,702
Katika makosa ambayo ccm imewahi kufanya basi kosa la kimkamata tundu lissu wakati huu ni kosa baya sana.
1. Chadema imekuwa popula mara dufu kwa wananchi.
2. Chadema imekuwa popula kimatafa
3. tanzania imekuwa exposed kama nchi isiyo fuata demokrasia .
4.Kosa hili limefuta mazuri ya Rais mwanamke wa kwanza Tanzania .
5. Wananchi wametambua zaidi haki yao ya kupiga kura inayo fanya maamuzi.
Ni bora wangemkamata heche ila syo lissu.
1. Chadema imekuwa popula mara dufu kwa wananchi.
2. Chadema imekuwa popula kimatafa
3. tanzania imekuwa exposed kama nchi isiyo fuata demokrasia .
4.Kosa hili limefuta mazuri ya Rais mwanamke wa kwanza Tanzania .
5. Wananchi wametambua zaidi haki yao ya kupiga kura inayo fanya maamuzi.
Ni bora wangemkamata heche ila syo lissu.