Chabo kids.

Jaguar

JF-Expert Member
Mar 6, 2011
3,438
1,026
Watoto wawili walikuwa kichakani wakimpiga chabo mdada aliyekuwa akioga mtoni.Mara ghafla mtoto mmoja akatoka nduki,na yule mwingine bila kupoteza muda akatoka mbio kuelekea alikoenda mwenzie.Alipomfikia mwenzie huku akihema akamwuliza ni kwa nini alitoka mbio?Mwenzie akasema;Mama alinikataza kuchungulia wanawake wanaooga vinginevyo nitageuka jiwe,kwa hiyo nilitoka mbio baada ya kuhisi cha kukojolea changu kinaanza kukakamaa kuwa kigumu,nikajua ndo naanza kubadilika kuwa jiwe.
 
hahaaaa kwa hiyo ndio kilikua kinaanza kurudia unyama wake..! yani kilikua kina anza kua nyama tena taratibu..!
 
Watoto wawili walikuwa kichakani wakimpiga chabo mdada aliyekuwa akioga mtoni.Mara ghafla mtoto mmoja akatoka nduki,na yule mwingine bila kupoteza muda akatoka mbio kuelekea alikoenda mwenzie.Alipomfikia mwenzie huku akihema akamwuliza ni kwa nini alitoka mbio?Mwenzie akasema;Mama alinikataza kuchungulia wanawake wanaooga vinginevyo nitageuka jiwe,kwa hiyo nilitoka mbio baada ya kuhisi cha kukojolea changu kinaanza kukakamaa kuwa kigumu,nikajua ndo naanza kubadilika kuwa jiwe.

Ha ha ha haaa! usitake ncheke mie!
 
Haya yalikwa mafundisho ya kizamani watoto wa kileo ukiwaambia hivyo ndo watafanya juu chini wakuchungulie wewe mzazi mwenyewe ili wahakikishe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom