Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Watoto wawili walikuwa kichakani wakimpiga chabo mdada aliyekuwa akioga mtoni.Mara ghafla mtoto mmoja akatoka nduki,na yule mwingine bila kupoteza muda akatoka mbio kuelekea alikoenda mwenzie.Alipomfikia mwenzie huku akihema akamwuliza ni kwa nini alitoka mbio?Mwenzie akasema;Mama alinikataza kuchungulia wanawake wanaooga vinginevyo nitageuka jiwe,kwa hiyo nilitoka mbio baada ya kuhisi cha kukojolea changu kinaanza kukakamaa kuwa kigumu,nikajua ndo naanza kubadilika kuwa jiwe.