Cha Kwanza Huwa Hakisahauliki

Cha Kwanza Huwa Hakisahauliki

Wahenga walisema:

"The first bite is the sweetest."

Anyway;
Mi nakumbuka mshahara wangu wa kwanza wote nliwapa wazazi wangu...wachaga tunaita 'kiruhuo mawoko'. Hehe..af two weeks later nkampigia mama simu nkamuomba hela...lol.

hapo kwenye red nimecheka sana mkuu
 
Dwm wangu wa kwanza kufanya nae alikua na maji mengi sana. Nakumbuka ilikua pale nzega ndo nimemaliza six. Hata sikuinjoi kusema cha ukweli. But toka siku hiyo sijawahi kumeet na dem ambae alikua akisisitiza kuvaa kondom kama yule. Hua namkumbuka sana kwa hilo. Alikua mbishi kinyama...vaa bwana vaa...kama ivo sikupi.


Wanawake wa siku hizi mambugila kweli...uvae usivae twende kazi. Kazi kweli kweli
 
Back
Top Bottom