Cha Kwanza Huwa Hakisahauliki

Cha Kwanza Huwa Hakisahauliki

Mr. Wise

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2012
Posts
7,733
Reaction score
6,469
Imekua kawaida kwa binadamu mara nyingi kukumbuku kitu chake cha kwanza kutumia ama kufanya, Naamini kabisa wengi wenu mnakumbuka vitu kama Mpenzi wako wa kwanza kulala nae, Simu yako ya kwanza kutumia, Nyumba yako ya kwanza kununua ama kupanga, Gari yako ya kwnza kununua, Kazi yako ya kwanza kupata, Single yako ya kwanza kama ni Mwanamuziki etc.
Now COMING to JF haswa jukwaa la MMU ebu kumbushia Thread yako ya kwanza Kuiachia Humu jukwaani!!Je iliwakamata watu?
 
^^
Hebu ngoja nikumbuke..iviii !!
Network error
^^
 
Mimi nakumbuka siku yangu ya kwanza kutaka kugegeda tulikwenda kusenya kuni hata hivyo sereka ilikuwa kali kiasi cha kuburuzana umbali tosha tu na nikaishia kubwaga juu ya papuchi huku akiwa amevaa chupi ya kitenge iliyowekewa mipira (Lastick) juu na chini. hadi kovu bado ninayo.
 
Back
Top Bottom