Achana na sauti ya Mdude ila sikiliza anachosema!
Kina nani wakamatwe na kina nani wakamate na kina nani wafe na kuuliwa ?, na wangapi wafe ili tuone kwamba imetosha au ni worth it ? Ifike wakati tuanze kukemea uchafu na upuuzi wowote no matter nani anaufanya au kumfanyia nani.Huwezi kuzuiya maji kwa viganja vya mikono . Watawakamata na hata kuwauwa wote lakini mbegu hizi zitachipuka dama popote
CHADEMA ni moja tu hakuna CHADEMA asili au Mapandikizi!Chadema halisia tunawajua na mapandikizi tunayajua
Ujumbe mulua sana ,safari hii bora tukae ndani tukila sehemu ya kodi zetu , japo sio diet kamili ,cha msingi ayo maagizo yako hapo juu yakitekelezwa1. Taarifa mapema kuhusu kukamatwa ni muhimu sana.
2. Kamwe usiamini majibu ya polisi.
3. Ukiambiwa jidhamini uondoke na uko peke yako usikubali, wanakusainisha umejidhamini ukishasaini dhamana wanakukamata, tukija tutaambiwa huyu alijidhamini kaondoka.
View attachment 3317489
Duh, yamekuwa hivyo tena? Kwa hiyo wakikulazimisha kujidhamini unagoma eeeh?1. Taarifa mapema kuhusu kukamatwa ni muhimu sana.
2. Kamwe usiamini majibu ya polisi.
3. Ukiambiwa jidhamini uondoke na uko peke yako usikubali, wanakusainisha umejidhamini ukishasaini dhamana wanakukamata, tukija tutaambiwa huyu alijidhamini kaondoka.
View attachment 3317489
Utachagua kujidhamini au omba Mungu wako akuponye ukiwa katka kumbukumbu za vitabu vyaoDuh, yamekuwa hivyo tena? Kwa hiyo wakikulazimisha kujidhamini unagoma eeeh?
Unataka kusemaje?Huyo wala hana ujanja
Ipo siku utanieelwa
Chadema halisia tunawajua na mapandikizi tunayajua
Ova ova
Wapigwe tu hawa mbumbumbu
Ni hatari sana! Hiki ni jeshi la kigaidi!Utachagua kujidhamini au omba Mungu wako akuponye ukiwa katka kumbukumbu za vitabu vyao
🐷🐷🐷Huyo wala hana ujanja
Ipo siku utanieelwa
Chadema halisia tunawajua na mapandikizi tunayajua
Ova ova
Wapigwe tu hawa mbumbumbu
Chadema ni yawananchi wa JMT, ccm ni ya police ,twende tu, wewe upo na kamdomo sanaHuyo wala hana ujanja
Ipo siku utanieelwa
Chadema halisia tunawajua na mapandikizi tunayajua
Ova ova
Wapigwe tu hawa mbumbumbu