Certified copies Utumishi

Certified copies Utumishi

BML

Member
Joined
Jan 10, 2015
Posts
7
Reaction score
0
Tafadhali msaada kwa wanaofahamu kama kuna ulazima Mkubwa wa kucertify, ili kuwa shortlisted.
Natanguliza shukurani zangu!
 
kama tangazo husika limekutaka u-certify fanya hivyo kama tangazo halijasema "NO NEED".......ila jua tu kuwa hicho si gigezo cha kukufanya uwe short listed!!!...
 
co lazma m nlituma bila kucertify...nkaitwa na february naingia mzgon TANROAD
 
Utumishi hawana mbwembwe hizo. Wao wanaweza wasliana na mamlaka husika lyk necta n.k km wana dought. Mambo hayo yapo NMB bt nat utumishi.
 
Unaitwa bila kucertify ilimradi ufikie vigezo vya ajira husika
 
co lazma m nlituma bila kucertify...nkaitwa na february naingia mzgon TANROAD



Kuna dogo alilalamika humu alitemwa kisa haku certify vyeti usije ukawachuza wenzio bwanamdogo....
 
Nashukuru sana JF members mlichangia mada hii kwa moyo wa dhati ili kutoa mwongozo mzuri kwa maana ukimsaidia mwenzio ni busara, pia akuonae sirini atakufungulia.
 
hapana mkuu,unaitwa na ukipasua interview zao wanakuita kazini bila shida.

OK mkuu labda wamebadili utaratibu...

Wengine tuliajiriwa kitambo yawezekana mambo yamebadilika.
 
Back
Top Bottom