Iko hivi, ukiichaji simu leo ukaiacha hapo usiitumie, au ukaitumia kidogo sana lakini ikawa muda mwingi imekaa bila kutumika, basi ukiangalia kwenye matumizi utaona cell standby inaongoza hata uwe ndani ya ofisi za service provider ambapo network ni strong.
Hii ni kwasababu battery usage inakuonesha jinsi battery yako ilivyotumika, na simu ili ibaki standby lazima chaji iwemo, tofauti na hapo itazima.
Nikijibu swali lako la "kwanini cell standby inakula chaji? Ni kwasababu simu kuwa standby nayo ni sehemu ya matumizi ya battery, japo hii inatumia chaji kidogo sana.