Karudi tena! Alikuwepo pale na AG Werema wiki chache zilizopita. Wamsome Jenerali kwenye RaiaMwema Jumatano mbili zilizopita. Kuna ujumbe amewapa loud & clear juu ya mchakato wa Katiba yetu.
Nimesikitika sana kupoteza muda wangu kuangalia kipindi hiki: nimejiridhisha bila shaka kuwa sioni jipya miongoni mwa watendaji wetu hawa. Waliobaki kwenye chama chetu walijue hili! Iwapo tutaendelea hivi bila kusoma wananchi wanataka nini, ipo siku yatatukuta yanayowakuta Syria leo huku tukiwa Ikulu hatuamini ukweli: Kumbukeni Tito aliwatishia hata askari walioenda kumkamata asijue kesha pinduliwa. Celina amka! MUSWADA MBOVU HUZAA MCHAKATO MBAYA NA MWISHO WAKE KATIBA ILIYOSHINDWA KABLA YA KUANZA KAZI! Watanzania hatutokubali kuburuzwa hadi tufikie hapo! Tusubiri hapo ulipo tunakuja.
Ana lipi jipya kwanza yeye na kaka yake Werema waliikataa katiba mpya raha yao ni kuwa tuna Rais anayeendana nao angekuwa mwingine angewafukuza kwa kushindwa kutimiza wajibu wao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.