Ngalikivembu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,959
- 872
Kuna tatizo la ushabiki ambao unakupelekea kukudhalilisha tu.Haina maana kuharibu image yako kwa mambo ambayo huwezi kuyatetea mbele ya waungwana.Kwanini katika taarifa yake wameshindwa hata kukopi hapa JF matokeo ya Ifakara na Bashnet au Sengerema?