Shenzytpe kabisa, vilaza Wakubwa ninyi.
Mmemuua yetu Binti Akwilina A. B, kwa tamaa za vyeo uchwara mbuzi halafu wanajipongeza kwa kumwaga damu isiyo hata na hatia!!
Ccm, management ya NEC and DED wa Kinondoni must go.
Tena, askari wetu 6 wasitolewe kafara kwa makosa na uloho wa Mtulia, CCM, NEC na DED wa Kinondoni.
R.I. P Binti yetu Akwilina A. B.
Umekatishwa ndoto zako zote na maisha yako yamezimwa kama mshumaa uzimwavyo.
Pole familia , ndugu, jamaa , marafiki na watanzania wenzentu wenye utu, hekima na uzalendo.
CCM must go.