Ni ajali ya kibiasharaBosi mwenyewe kampokea mtuhumiwa pale magogoni, cha ajabu badala ya kumkamata, akamkorogea kahawa, kajibaraguza kwa kiingereza cha Ras Simba, kamfungulia geti, pua ndefu (mtuhumiwa) kapiga moto jet huyoooo kasepa! Ninyi huku nyuma maneno kibao kama viwete! Wenye akili tumejua hili limeshapita!
Wananchi gani wenye hasira nao?Hili ni muhimu kwa namna kama mbili hivi
mosi;wasje wakatoroka,pili kwa usalama wao,manake kwa tuhuma walizonazo naona kama wananchi wana hasira nao sana huko mtaani na pia kuna uwezekano mmoja wao ana ushahidi wa kuwaimplicate wengine wasiomo hao wasiomo wakaplan jambo baya kwa mtu kama huyo, mfano kama mimi kwa sasa sijatajwa na ninajua kuwa mtuhumiwa flani "x" iwapo atahojiwa itakuwa si salama kwangu naweza kushawishika kumdhuru ili asihojiwe,nadhani hawa jamaa kwa sasa ni watu muhimu sana kwa hiyo wanastahili ulinzi mkali,kwa kuwa ni ngumu kuwapa ulinzi mkali mmoja mmoja huku kila mtu yuko kwake wangewekwa sehem moja tulivu na salama (behind the bars and walls) ili wawe salama.
Kutoguswa kwa mkapa na kikwete ndiyo kinga itawasaidia wote kwani kila atakayehojiwa atasema alitumwa na hao hao Marais wasitaafu.Hakuna wa kumhoji may be wafanye maigizo , mbona kamati ya maadili aliigomea kuwa haina mamlaka na ika-surender (kuhusu escrow)
Na serkali gaina uwezo wa kwenda mahakamani kwani ni marufuku kuwataja au kuwagusa wahusika wakuu ambao wana kinga na ndiyo maana gazeti la mawio limefungiwa kwa kuugusa mzizi wa tatizo.
Ndugu hujui tu mpaka leo? Hapo wametajwa wasukuma aka ngoshas, akili lazma ziwekwe pembeni.We jamaa umekuwa mjinga siku hizi sijui ni hizo vumbi
Kuna Wajanja wameanza kujipitisha kwa watuhumiwa kuomba Rushwa wakiwatisha kuwa Baba Jesca anataka Wafungwe baada ya mahojiano ndiyo maana Chenge kaamua kuanika Msimamo wake mapema maana hataki kwenda kuombwa Rushwa.Watoe ushirikiano gani tena? Wao walishatoa ushirikiano mzuri tu kwa maboss wao waliowaagiza kusaini hiyo mikataba. Sasa hivi wanaotakiwa kutoa ushirikiano ni hao maboss waliowatuma. Waseme tu ukweli kwamba akina Chenge walikuwa wanafanya kazi waliyowatuma, na hadithi itaishia hapo kwa kuwa mkulu ameshasema.wazi kwamba hao maboss waachwe wapumzike, wamefanya kazi kubwa sana iliyotukuka kwa nji hii.
Mkuu umenichekesha sana jnsi ulivyomalizia hoja yako hapo mwishoniNasikia huko nyumbani Chenge kashaunguruma,anasema yeye alisaini mikataba kwa maelekezo ya wakubwa,kama vile fulani alivyokubali kuuza nyumba za serikali kwa maagizo ya mkubwa wake,yeye pia alisaini hiyo mikataba kwa maagizo ya mkubwa wake.
Mmoja aliagizwa kutekeleza wajibu wake wa kusaini mikataba ya madini,na mwingine alitekeleza wajibu wa kuuza nyumba za serikali.Andrew hawezi kusaini mikataba mikubwa hivyo bila uhakika wa "Security" ya baadae.
Polepole akumbuke nafasi hiyo ilikuwa kwa Nape,alijikakamua kuwavua "magamba" kina Chenge na Rostam,lakini mambo yalidunda,sijui safari hii yeye ataweza kuileta CCM mpya?Chenge ana mahali kajishikilia,hapo mahali ndio jana Rais JPM kaagiza "pasiguswe" wala pasiandikwe magazetini.
Are you sure?my foot!
watafanya usanii kama ule walioufanya kwa Mramba na Yona.
jamaa walikuwa saa zote wapo kitaa wanakula bata eti tunadanganywa wako Segerea!
As simple as thatKutoguswa kwa mkapa na kikwete ndiyo kinga itawasaidia wote kwani kila atakayehojiwa atasema alitumwa na hao hao Marais wasitaafu.
Kujivua gamba CCM walifanikiwa kiasi kwa sababu lile gamba gumu kuliko yote lilikatwa kinyanganyiro cha Urais na baadaye likahamia chama kilichojinasibu VUA GAMBA, VAA GWANDA LA CHADEMAFisi ni mlafi sana wa nyama lakini hawezi kula mkia/ kiungo chake...ref. kampeni ya kujivua gamba
Kwa hiyo mkuu wewe ukisikia kuwadhuru unachoelewa ni mauaji tu? manake mimi sijaongelea mauaji hapo.Ulinzi gani wapewe? Kwani mtu akiamua kuwaua ulinzi hauwezi kuzuia mauaji yao kule kibiti polisi waliuawa wakiwa na bunduki zao hata kule Uganda msemaji wa Polisi aliuawa na walinzi wake , cha Msingi ni kuwahoji Mkapa na kikwete pekee kwani wao ndiyo walikuwa wakitoa Amri wanapokea na kutekeleza.
Waqnanchi wanaochukia ufisadi, kama wananchi wamefurahia na kuunga mkono mapendekezo ya tume kwamba wachukuliwe hatua,ni wazi kwamba wana hasira nao.Wananchi gani wenye hasira nao?