Akasankara
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 4,268
- 5,815
- Thread starter
-
- #21
Ya chadema inasemaje au wenyewe hata kukaguliwa hawataki maana najua huko kwenye mambo ya hela ndo kuna balaa. Pesa za chama zinatunzwa chini ya mto wa mwenyekiti. Huko najua kuna uozo zaidi ya ccm
chagadema iko juu kwa kuongozwa na wacheza sinema. Wachekeshaji na ma zeroTulitegemea ccm kama chama kikongwe kiwe mfano kumbe hola! Yaani hakina tofauti na ACT wasaliti. kwa hili la ukaguzi CHADEMA ipo juu
Mtoa maada, ametoa taarifa tena kwa vifungu wewe unaleta matusi!!! Hii inadhihirisha kuwa wana ccm wengi kama wewe weupe kichwaniMamburula tanzania ni hawa wafuatao....mbowe, msigwa, lema, sugu na mnyika. Hawa wote kwny saccos ya mzee mtei iitwayo chagadema.
Vijana wangu wa kijani kila kitu ni uongo na utafanya CAG amwagiwe mapovu vibaya sana na kumhusisha na wale jamaa hasa CUF Self.Taarifa ipo wazi kila mmoja anaona.
Inasemaje yao weka maelezo kama yalivyowekwa ya CCMIpo sawa
OPMamburula tanzania ni hawa wafuatao....mbowe, msigwa, lema, sugu na mnyika. Hawa wote kwny saccos ya mzee mtei iitwayo chagadema.
Ni mapanya bukuCCM HOI YAPATA HATI YENYE SHAKA
CCM kiliripoti mali za kudumu kwenye Taarifa za fedha zenye thamani ya sh. 36,869,775,776. Hata hivyo hakikuwa na daftari la mali za kudumu. Hivyo, kushindwa kuthibitisha ukamilifu wa taarifa za mali za kudumu (Revaluation). Hata hivyo, mali za kudumu kwenye Taarifa za fedha zenye thamani ya sh. 36,869,775,776 hazikuwa sahihi
Chama hakikutenganisha thamani ya ardhi na thamani ya majengo kama viwango vya kimataifa vya kihasibu vinavotaka (aya 58 of IAS 16). Hivyo, thamani ya majengo ya kiasi cha sh.9, 809,498,407 yalijumuishwa na thamani ya ardhi ambayo inapanda thamani wakati majengo yanashuka thamani.
Kukosekana kwa taarifa za fedha kuhusu uwekezaji wa chama kwenye makampuni mbalimbali; hivyo, kushindwa kujiridhisha na uwekezaji wenye thamani ya sh. 10,879,571,868 uliyowasilishwa kwenye taarifa za fedha.
Katika Taarifa ya matumizi, kulibainika kiasi cha sh. 32,863,793,631 kilipelekwa kwenye taasisi zilizo chini ya chama, lakini Taarifa za matumizi katika taasisi hizi hazikuweza kupatikna ili kuweza kujiridhisha na matumizi haya.
Matumizi yenye thamani ya sh. 82,400,000 yalikuwa na nyaraka pungufu, hivyo kushindwa kuthibitisha uhalali wake.
Madai yenye thamani ya sh. 137,582,752 kutoka CCM kinondoni hayakuingizwa kwenye Taarifa za fedha, hivyo kusababisha upungufu wa sh. 137,582,752 kwenye Taarifa za fedha.
Chanzo: Ripoti Kuu ya Mwaka ya Mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serkali (CAG) kwa 2015/2016
MY TAKE: Nilitegemea chama kikongwe kama hiki kiwe mfano wa matumizi mazuri ya fedha, kumbe ndiyo kinara wa ubadhirifu wa fedha na mali za chama. Kwa hali hii, wanachama wataendelea kushabikia ccm bila kujua kuwa fedha zao zinatafunwa kwa fujo! CCM kuweni na huruma mmeiba vya kutosha.
UFISADI CCM NDIO NYUMBANI KWAO
Hitimisho:
"Hivyo basi ccm ni majizi na ni taasisi inayomilikiwa na mafisadi, wafoji vyeti na imejaa mamburula"
Mamburula tanzania ni hawa wafuatao....mbowe, msigwa, lema, sugu na mnyika. Hawa wote kwny saccos ya mzee mtei iitwayo chagadema.
Ndugu yangu miye naona HOJA ni matumizi mabaya ya fedha ya Chama cha Mapinduzi. Kudai nguvu ya hoja itoke kwenye hesabu za fedha za vyama vyote ni kukengeuka..Ungeweka na za vyama vingine ili kuipa nguvu hoja yako. Humu kwenye vyama vya siasa karibu vyote ni madudu tu na sidhani hata kuna wa kumcheka mwenzie! But yes, ccm na cdm tunategemea wawe mfano.
Kwani bashite amehamia Chadema?chagadema iko juu kwa kuongozwa na wacheza sinema. Wachekeshaji na ma zero
shika adabu yako wewe nyumbu. weka taarifa ya chadomo kwanza tuone. wapi wamesema wizi kama sio tofauti tu ya mahesabu.CCM HOI YAPATA HATI YENYE SHAKA
CCM kiliripoti mali za kudumu kwenye Taarifa za fedha zenye thamani ya sh. 36,869,775,776. Hata hivyo hakikuwa na daftari la mali za kudumu. Hivyo, kushindwa kuthibitisha ukamilifu wa taarifa za mali za kudumu (Revaluation). Hata hivyo, mali za kudumu kwenye Taarifa za fedha zenye thamani ya sh. 36,869,775,776 hazikuwa sahihi
Chama hakikutenganisha thamani ya ardhi na thamani ya majengo kama viwango vya kimataifa vya kihasibu vinavotaka (aya 58 of IAS 16). Hivyo, thamani ya majengo ya kiasi cha sh.9, 809,498,407 yalijumuishwa na thamani ya ardhi ambayo inapanda thamani wakati majengo yanashuka thamani.
Kukosekana kwa taarifa za fedha kuhusu uwekezaji wa chama kwenye makampuni mbalimbali; hivyo, kushindwa kujiridhisha na uwekezaji wenye thamani ya sh. 10,879,571,868 uliyowasilishwa kwenye taarifa za fedha.
Katika Taarifa ya matumizi, kulibainika kiasi cha sh. 32,863,793,631 kilipelekwa kwenye taasisi zilizo chini ya chama, lakini Taarifa za matumizi katika taasisi hizi hazikuweza kupatikna ili kuweza kujiridhisha na matumizi haya.
Matumizi yenye thamani ya sh. 82,400,000 yalikuwa na nyaraka pungufu, hivyo kushindwa kuthibitisha uhalali wake.
Madai yenye thamani ya sh. 137,582,752 kutoka CCM kinondoni hayakuingizwa kwenye Taarifa za fedha, hivyo kusababisha upungufu wa sh. 137,582,752 kwenye Taarifa za fedha.
Chanzo: Ripoti Kuu ya Mwaka ya Mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serkali (CAG) kwa 2015/2016
MY TAKE: Nilitegemea chama kikongwe kama hiki kiwe mfano wa matumizi mazuri ya fedha, kumbe ndiyo kinara wa ubadhirifu wa fedha na mali za chama. Kwa hali hii, wanachama wataendelea kushabikia ccm bila kujua kuwa fedha zao zinatafunwa kwa fujo! CCM kuweni na huruma mmeiba vya kutosha.
UFISADI CCM NDIO NYUMBANI KWAO
Hitimisho:
"Hivyo basi ccm ni majizi na ni taasisi inayomilikiwa na mafisadi, wafoji vyeti na imejaa mamburula"
Tena unaotafuna mpaka chumakwenye mambo ya fedha ccm huwa ni mchwa
Bora uibe duh yani unaubariki wizi?bora uibe angalau uwe na chakuonesha,kuliko kuiba hata chakuonesha huna........dah hata ofisi shida na maruzuku yote hayo.
Matusi hayajengi bali hubomoashika adabu yako wewe nyumbu. weka taarifa ya chadomo kwanza tuone. wapi wamesema wizi kama sio tofauti tu ya mahesabu.
Si usubiri ripoti ya CAG kwa hivyo vyama kiherehere cha nini?Je vyama vyenye viongozi wa maisha mnavisemaje vinatumia OC bila utaratibu wa Mapato na matumizi hoja za CAG kwa upande wa CCM zina jibika