hao watu wote ni matokeo ya FUSO transport toka kila kata ya vijiji vinavyoizunguka songea.,halafu ccm mnalazimika kununua t-shirt kwa mamia kwa kila mkutano mtakaoufanya pamoja na kofia na ukodishaji wa fuso na pikipiki.je mtaimudu kasi ya CDM?
Ila subiri uone CDM itakapoingia hapo ndio utaona tofauti kati ya peoples power na jhao chumia tumbo na wafuata T-shirts na kofia