Ni ndoto za kibavicha hizo zinazoambatana na moshi mkali wa bangi na gongo la mama mamka.
Mnajaribu kujitekenya halafu mnajishangaa mnavyocheka!!!!!
karibuni TUSKER bariiiiiiiiidiiiiiii nipo hapa bar ya mwana UKAWA anaitwa URIO na wala sioni husuda kumuunga mkono kwenye biashara yake.
Wapimbav...... hawatapewa nafasi katika siasa za taifa hili takatifu. Kama jinsi tuwafanyiavyo mbwa majumbani kwetu, nanyi mtatupiwa majimbo machache na mitaa michache kwenye chaguzi ili mtingishe mikia kwa furaha. Wakati huo sisi TUNAPETAAAAA
Where is marlow
Mkuu CDM wanakukaribisha kugombea ubunge
Mkuu , Hayati BalaliNdoto??????? hebu eleza hawa hapa wanafanya nini kama sio kujikomba wakidhalilika watu wazima hovyo kabisa
nipo vizuri na jamii na ccm yangu sina dhiki kama za mtoa post
Kosa kubwa walilolifanya magamba ni pale Hawa Ghasia alipojipendekeza awe mgeni rasmi siku na mechi ya Mgambo shooting akijifanya anakabidhi gari Wamakonde/WanaMtwara wengi walitojka uwanjani hata mpira haujaanza na Nanda FC ilichezea 3 -1.Hawa Ghasia hatakiwi hata kidogo Mtwara na akionekna anakuwa na ulinzi kama wa Rais wanaogopa watamgawana
Ndanda Fc kabla ya kuja rasmi watu walikuwa hawajui kuwa kuna political affiliations humo ndan yake.
Its beyond ridiculous kwa ccm kuamin kwamba eti kwa kuja na gia hii ya kuasisi football club na kuifanya kama ngao yao basi kutawafanya wanamtwara kusahau machungu yao.
Ingekuwa wamefanya atleast jambo la maana kama wangeiasisi hiyo football club kisha wakaiacha bila kuiingilia.
Wanachofanya ccm ni kutapa tapa na kucheza POLITICAL PONOGRAOPHY.
Its a shame.
Ugomvi wetu sisi wamakonde na ccm ni mkubwa sana zaidi ya wanavyodhania.
Hilo nililijua mapema sana , siku hizi mambo yamebadilika sana , ukitaka kuwa adui wa wananchi jiambatanishe na ccm ! Hali hii ndio iliua kabisa bendi ya TOT .