CCM yahairisha mkutano wake wa Jangwani

CCM yahairisha mkutano wake wa Jangwani

Rais hajarudisha muswaada Bungeni. Alichosema ni kwamba ikawa hapo marekebisho yafuate utaratibu. Huko siyo kurudisha muswaada bungeni. Tatizo walilo nalo Watu wengi ni kutokujua kanuni na za Bunge na katiba ya nchi.

Tambua Rais Kikwete ametumia lugha ya kidiplomasia ili kupunguza ukali wa maneno kwa wasaidizi wake na wabunge wa chama chake waliochemka kwa kukosa busara!

Katika nchi zilizoendelea,wote waliosimamia mchakato huu toka serikalini wangejiuzulu nafasi zao,kumwezesha rais ateue washauri wapya!
 
Mbona mkwara mzito leo tumesitisha maandamano? Jamani tujifunze kuwa na subira na kujipanga vyema . Lisu alikuja na lake, mnyika naye huyoo leo Mbatia kasitisha maandamano. Kweli JK kapiga bao wakati mbaya.

Mbowe na Slaa walipanga maandamano na mgomo kisha haooo majuuu wanavinjari. Sisi ndiyo wa kupigwa mabomu kisha wanarudi na kuanza domokaya hahaa kweli watu wanacheza na hisia zetu.
 
Back
Top Bottom