0766958894
Senior Member
- Aug 8, 2013
- 135
- 10
mafala hao,, they have found themselves with less reasonable reasons 2 speak 2 the majority. let them 2 the hell..
Inabidi nicheke tu sina jinsi,haaaaahaaaahaaaaaaaaaaaaaaa
Jakaya mungu amempa busara Sana na anaona mbali
Upo sawa mkuu,sisi tunahitaji umeme,maji ,mikopo, hospitali za kutosha walimu wa kutosha mashuleni.Hivi vyote hatuhitaji kuambiwa tunahitaji kuviona.Hivyo haina haja ya kutumia nguvu nyingi kuongea bila utekelezaji.Hongera JK, yawezekana amewagomea kwenda jangwani kuzungumzia upuuuzi wa kima Bulembo, by the way, CCM ni chama tawala hili suala la kwenda kujibu mapigo kwa kila kinachofanywa na upinzani ni kuishiwa namna ya kufikiri, tekelezeni sera haya mengine waachieni wasio madarakani, CCM tutawatambua kwa matendo yenu na upinzani kwa maneno yao