KASHOROBANA
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,241
- 964
CCM ni majambazi. Nikisikia neno CCM napata kichefuchefu na kuona kinyaaa. CCM imepoteza uhalali wa kutawala Tanzania. CCM imeshindwa na imefeli kuleta maendeleo kwa watanzania, bali kimefanikiwa kuzalisha mafisadi na kuwatunza. CCM si chama cha watanzania halisi bali ni chama cha wahuni.
ALOQUOTE MANENO YA UYU MWIGULU KICHWA MAJI HAJAMALIZIA YOTE, PIA KASEMA MAMBO MENGINE WANAMUACHIA MUNGU, IVI HAWA CCM WASHIRIKINA WAKUBWA NA MUNGU NI WAPI NA WAPi?