sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,324
- 2,494
Viongozi wa ngazi za juu serikalini wametakiwa kushirikiana na waasis wa vyama hasa mabalozi wa vitongoji kutokana na wao kuwatambua wananchi wao kwa kiwango kikubwa hivyo kuweza kukuza chama na kupunguza uhalifu.
Hayo yalisemwa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha wakati wa ziara ya chama cha mapinduzi kutembelea wilaya na kata kwa Wajumbe, Makatibu, Wenyeviti, Waasis wa vyama pamoja na Mabalozi kwa lengo la kujadili muongozo wa chama na changamoto zinazokumba baadhi ya kata. Mwenyekiti huyo ametembelea baadhi ya kata katika mkoa wa Arusha.
CCM OYEEEE......
Hayo yalisemwa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha wakati wa ziara ya chama cha mapinduzi kutembelea wilaya na kata kwa Wajumbe, Makatibu, Wenyeviti, Waasis wa vyama pamoja na Mabalozi kwa lengo la kujadili muongozo wa chama na changamoto zinazokumba baadhi ya kata. Mwenyekiti huyo ametembelea baadhi ya kata katika mkoa wa Arusha.
CCM OYEEEE......