CCM yaenda kinyume na marufuku ya Polisi

History can be very unkind and it has a bad habit of repeating itself! what goes around always comes around.
 
Achilia mbali CCM kufanya uzinduzi wa kampeni zake huko Bububu, hakuna mahali po pote ilipoelezwa au kuamrishwa kwamba shughuli za kawaida za wananchi (ikiwa ni pamoja na shughuli za siasa au ibada) zisimame katika kipindi cha sensa. Kwa hivyo, inaelekea policcm wana kanuni kam sio sheria zilizo tofauti na serikali wanayoilinda, na kuzuia CHADEMA kufungua tawi lao Mufindi ilikuwa ni uonevu 100%. Wanakabiliwa na uvunjivu wa sheri wa aina mbili: kuzuia shughuli za siasa kuendelea kinyume na kanuni za sensa na mauaji ya mwananchi.
 
Hii Game Plan yao inaenda siko.....!! A serious need to STOP....THINK and RESTRATEGIZE??! ...
 
double standard ni sumu mbaya sana let them do it its their time now but our time will come also ccm wananiumiza sana wanaargument za kijinga na kipumbavu sana hawafikirii kabisa lakini viongozi wa dini naomba waingilie na wakeeme haya mambo
 
Napata wasiwasi uchaguzi ujao utakuwaje mauaji yameanza mapema hivi. Sijajua mimi na famikia yangu tutaenda wapi endapo vurugu au mauaji yataanza ikiwa Magamba watashindwa katika uchaguzi huo. Nchi hii tumezoea kuwahifadhi majirani zetu walivurugukiwa katika nchi zao sasa sisi tutakimbilia wapi?
 
Napata wasiwasi uchaguzi ujao utakuwaje mauaji yameanza mapema hivi. Sijajua mimi na familia yangu tutaenda wapi endapo vurugu au mauaji yataanza ikiwa Magamba watashindwa katika uchaguzi huo. Nchi hii tumezoea kuwahifadhi majirani zetu walivurugukiwa katika nchi zao sasa sisi tutakimbilia wapi?
 
kusema ccm itapotea kama tanu ni uchache wa kufikiro ccm ndio hiyohiyo tanu sema tu kiliungana na ASP mwaka 1977 na sas hivi kimeacha misingi ya tanu kwa kuwakummbatia mafisadi
 
Zanzibar ni dola na ina maamuzi yake haingiliwi na Bara hivi maelezo yote aliyotoa Lissu akinukuu katiba mpya ya Zanzibar wadau hamkuyaelewa??Zanzibar sio sehemu ya Jamhuri ya muungano ni dola kamili ndio maana haitii chochote kinachoagizwa na Jamhuri ya Muungano!
Nakubaliana na wewe Mkuu, lakini aliyefungua ni Makamu wa Rais wa Tanzania. what up with that?
 
tukisema zanzibar ni nchi kama tindu lissu alivyosema wazanzibar wanakuja juu na wanac.c.m fisadi wanakuja juu. kama zanzibar hakukuwa na sensa na IGP mwema ni wa bara tu. basi tangazeni sasa kwamba zanzibar ni dola
 
sASA WACHAGUE ZANZIBAR NI NCHI AU CCM WAMEFUNJA SHERIA KWA KUKAIDI AMRI YA POLISI KUFANYA MIKUTANO WAKATI WA SENSA. NAJUA ASKALI WALILINDA MKUTANO WA ZANZIBAR LAKINI MBONA HAWAJAMZUIA BILALI KUPIGA KAMPENI? INAA MAANA POLISI WANATUMWA KUVURUGA MIKUTANO YA CDM. SAWA POLISI TAMBUENI HAKUNA MBUNGE WA CCM ANAYEWATETEENI BUNGENI NI WAPINZANI WALA SIO NAPE,MWIGULU,SOKWE,AU MWINGINE YEYOTE.
 
Binafsi ninaamini kuna shahidi nyingi zinazoka haki za binadamu na bado sisi kama Watanzania tunazifumbia macho.
Serikali hii bado inashitakika katika majukwaa ya kimataifa na kwa hisani.
Vilevile shahidi hizi sisi kama wapiga kura tunapaswa kuzikumbuka na kuwaondoa hawa madhalimu wasaa wa kupiga kura utapowadia

Kwa kura kuna ugumu wake we utaona watavyokuwa ving'ang'anizi ktk uchaguzi ujao
 
Sawa kabisa,CCM ni chama tawala hawawezi kutii amri za Polisi ambao wao ndiyo wanawapa vyeo na amri za wafanye nini.:shetani:
 
Back
Top Bottom