mpalu
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,521
- 870
JANA polisi walizuia chadema kufanya mikutano Iringa kwa madai wamezuia mikutano ya siasa kupisha zoezi la sensa lakini wakati huohuo CCM Jana imezindua kampeni Zanzibar kama inavyoenekana pichani. Dkt Bilal Azindua Kampeni Za Uchaguzi Mdogo Wa Jimbo La Bububu-Zanzibar
Makamuwa wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimnadi Mgombea wa nafasi ya Uwakilishi wa Jimbo la Bububu, Hussein Ibrahim Makungu (BHAA) wakati alipokuwa akizindua Kampeni za uchaguzi mdogo wa Jimbo hilo, uliofanyika kwenye Uwanja wa Geji mjini Unguja jana Sept 02, 2012.
Msanii wa muziki wa Taarab, na mkurugenzi wa kundi la Taarab la Jahaz Modern Taarab, Mzee Yusuph, akishambulia jukwaa kwa vibao vyake vya sebene la Taarab, wakati wa sherehe za uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo wa Jimbo hilo, uliofanyika kwenye Uwanja wa Geji, mjini Unguja jana Sept 02, 2012. source Mjengwa Blog.
Makamuwa wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimnadi Mgombea wa nafasi ya Uwakilishi wa Jimbo la Bububu, Hussein Ibrahim Makungu (BHAA) wakati alipokuwa akizindua Kampeni za uchaguzi mdogo wa Jimbo hilo, uliofanyika kwenye Uwanja wa Geji mjini Unguja jana Sept 02, 2012.