*ZAIDI YA WANACHAMA 1200 WA CHADEMA WAHAMIA CCM LONGIDO*
Disemba 23,2017
Katika uzinduzi wa Kampeni za CCM katika Jimbo la Longido zilizoongozwa na Kada Dr Mwigulu Nchemba waliokuwa wanachama CHADEMA zaid ya 1200 wamekihama chama hicho na kujiunga na CCM.
Disemba 23,2017
Katika uzinduzi wa Kampeni za CCM katika Jimbo la Longido zilizoongozwa na Kada Dr Mwigulu Nchemba waliokuwa wanachama CHADEMA zaid ya 1200 wamekihama chama hicho na kujiunga na CCM.