Baada ya kujaribu madaraka kwa mtu asiyekuwa na maono ya umoja wa kitaifa, aliyeamini katika ubabe na kupora chaguzi. Ni wakati wa kupigania katiba mpya na taasisi huru nchini.
Katiba iliyopo isipobadilishwa inaweza kuleta tena janga kuliko tulilokuwa nalo