payuka JF-Expert Member Jun 17, 2010 829 127 Sep 15, 2011 #1 Mwenye macho haambiwi ona!<BR><BR>View attachment 37218
Baba_Enock JF-Expert Member Aug 21, 2008 7,076 2,445 Sep 15, 2011 #2 Wali Nyama! Attachments Ubwabwa.jpg 73 KB · Views: 148
BONGOLALA JF-Expert Member Sep 14, 2009 16,507 11,883 Sep 15, 2011 #3 halafu watoto ndio waliohudhuria mkutano huo.ccm wanajua kuwa ili watawale wananchi wanatakiwa wawe masikini wa kutupwa wawahonge ubwabwa
halafu watoto ndio waliohudhuria mkutano huo.ccm wanajua kuwa ili watawale wananchi wanatakiwa wawe masikini wa kutupwa wawahonge ubwabwa
Mshume Kiyate JF-Expert Member Feb 27, 2011 6,766 894 Sep 15, 2011 #4 Hakuna kuku hapo mbona? Naona wali na kabechi tu
AirTanzania JF-Expert Member Mar 17, 2011 1,139 1,035 Sep 15, 2011 #6 Unanunuliwa HAKI YAKO kwa Ubwabwa
Ndachuwa JF-Expert Member Mar 8, 2006 6,269 4,569 Sep 15, 2011 #7 Kuku wa kienyeji kuna maskini ambaye hana huko vijijini?
O OMEGA JF-Expert Member Jul 12, 2011 693 300 Sep 15, 2011 #8 Tuna Takukur ambayo ina macho lakini haioni,ina masikio lakini haisikii
Sajenti JF-Expert Member Apr 24, 2008 3,651 412 Sep 15, 2011 #10 chatu dume said: Hakuna kuku hapo mbona? Naona wali na kabechi tu Click to expand... ...Mkuu huenda wewe umeangali ukaona ni wali na kabechi wenzio wamechungulia wakaona wali kuku......teeh teee teee teeeh ama kweli magamba kwishney sasa
chatu dume said: Hakuna kuku hapo mbona? Naona wali na kabechi tu Click to expand... ...Mkuu huenda wewe umeangali ukaona ni wali na kabechi wenzio wamechungulia wakaona wali kuku......teeh teee teee teeeh ama kweli magamba kwishney sasa
Emanuel Makofia JF-Expert Member Jan 5, 2010 3,832 630 Sep 15, 2011 #11 hii ni rushwa. kama mikutano inaanza mchana kwa nn chakula??