mwanaharakati m
Member
- Jan 9, 2011
- 48
- 0
Baada ya CHADEMA kumaliza ziara ya harakati za kuwaamsha wananchi kutoka kwenye lindi kali la usingizi juu ya masuala mbalimbali ikiwamo DOWANS,MABOMU YA GONGO LA MBOTO,UGUMU WA MAISHA na MFUMUKO WA BEI n.k
CCM imeibuka na kuanza kutoa shutoma nzito,zikiwamo za kukihusisha CDM na uhaini na kuhatarisha amani. makada mbalimbali wakiwamo JEYKEY,WASIRA,CHILIGATI,TENDWA nk wameibika na kukishutumu na kutoa vitisho mbalimbali.
hoja yangu kwa vile CHADEMA ilikwenda moja kwa moja kwa wananchi ikawaeleza,wakaisikiliza na wakaandamana maelfu kwa malaki. CCM badala ya kuita waandishi wa habari na kushutumu badala ya kujibu hoja, wangeenda kwa wananchi, wakawaeleza hayo katika mikutano ya hadhara.
kwa nini waende? wananchi wa salama kati(Bunda) wanaopata mlo mmoja kwa taabu,hawawezi kununua gazeti, hawawezi kununua TV kwa vile hawana hata umeme wa DOWANS. Nivyema kuwafuata huko. naamini watawajaa kwenye mikutano na kuwasikiliza hasa ukizingatia ni takribani miezi minne tu tangu CCM ilipotangazwa mshindi kwa 61%, hivyo watu wengi wanaipenda.
:hand:
CCM imeibuka na kuanza kutoa shutoma nzito,zikiwamo za kukihusisha CDM na uhaini na kuhatarisha amani. makada mbalimbali wakiwamo JEYKEY,WASIRA,CHILIGATI,TENDWA nk wameibika na kukishutumu na kutoa vitisho mbalimbali.
hoja yangu kwa vile CHADEMA ilikwenda moja kwa moja kwa wananchi ikawaeleza,wakaisikiliza na wakaandamana maelfu kwa malaki. CCM badala ya kuita waandishi wa habari na kushutumu badala ya kujibu hoja, wangeenda kwa wananchi, wakawaeleza hayo katika mikutano ya hadhara.
kwa nini waende? wananchi wa salama kati(Bunda) wanaopata mlo mmoja kwa taabu,hawawezi kununua gazeti, hawawezi kununua TV kwa vile hawana hata umeme wa DOWANS. Nivyema kuwafuata huko. naamini watawajaa kwenye mikutano na kuwasikiliza hasa ukizingatia ni takribani miezi minne tu tangu CCM ilipotangazwa mshindi kwa 61%, hivyo watu wengi wanaipenda.
:hand: