CCM wasitumie vyombo vya Habari, waende moja kwa moja kwa WANANCHI

Jan 9, 2011
48
0
Baada ya CHADEMA kumaliza ziara ya harakati za kuwaamsha wananchi kutoka kwenye lindi kali la usingizi juu ya masuala mbalimbali ikiwamo DOWANS,MABOMU YA GONGO LA MBOTO,UGUMU WA MAISHA na MFUMUKO WA BEI n.k
CCM imeibuka na kuanza kutoa shutoma nzito,zikiwamo za kukihusisha CDM na uhaini na kuhatarisha amani. makada mbalimbali wakiwamo JEYKEY,WASIRA,CHILIGATI,TENDWA nk wameibika na kukishutumu na kutoa vitisho mbalimbali.

hoja yangu kwa vile CHADEMA ilikwenda moja kwa moja kwa wananchi ikawaeleza,wakaisikiliza na wakaandamana maelfu kwa malaki. CCM badala ya kuita waandishi wa habari na kushutumu badala ya kujibu hoja, wangeenda kwa wananchi, wakawaeleza hayo katika mikutano ya hadhara.

kwa nini waende? wananchi wa salama kati(Bunda) wanaopata mlo mmoja kwa taabu,hawawezi kununua gazeti, hawawezi kununua TV kwa vile hawana hata umeme wa DOWANS. Nivyema kuwafuata huko. naamini watawajaa kwenye mikutano na kuwasikiliza hasa ukizingatia ni takribani miezi minne tu tangu CCM ilipotangazwa mshindi kwa 61%, hivyo watu wengi wanaipenda.
:hand:
 
Baada ya CHADEMA kumaliza ziara ya harakati za kuwaamsha wananchi kutoka kwenye lindi kali la usingizi juu ya masuala mbalimbali ikiwamo DOWANS,MABOMU YA GONGO LA MBOTO,UGUMU WA MAISHA na MFUMUKO WA BEI n.k
CCM imeibuka na kuanza kutoa shutoma nzito,zikiwamo za kukihusisha CDM na uhaini na kuhatarisha amani. makada mbalimbali wakiwamo JEYKEY,WASIRA,CHILIGATI,TENDWA nk wameibika na kukishutumu na kutoa vitisho mbalimbali.

hoja yangu kwa vile CHADEMA ilikwenda moja kwa moja kwa wananchi ikawaeleza,wakaisikiliza na wakaandamana maelfu kwa malaki. CCM badala ya kuita waandishi wa habari na kushutumu badala ya kujibu hoja, wangeenda kwa wananchi, wakawaeleza hayo katika mikutano ya hadhara.

kwa nini waende? wananchi wa salama kati(Bunda) wanaopata mlo mmoja kwa taabu,hawawezi kununua gazeti, hawawezi kununua TV kwa vile hawana hata umeme wa DOWANS. Nivyema kuwafuata huko. naamini watawajaa kwenye mikutano na kuwasikiliza hasa ukizingatia ni takribani miezi minne tu tangu CCM ilipotangazwa mshindi kwa 61%, hivyo watu wengi wanaipenda.
:hand:


Hakuna atakayeshiriki maandamano ya ccm, labda wawaahidi watu kuwa siku ya maandamano kutakuwa na usafiri wa kwenda na kurudi, na kutakuwa na chakula na vinywaji, pamoja na vizawadi vidogo vidogo kama vile khanga, t-shirt na kofia
 
Fulana na kofia tulizopewa wakati wa kampeni zimeisha chakaa, malori yaliyokuwa yanatubeba wakati wa kampeni hatuyaoni na hakuna hata ahadi moja tuliyoanza kutekelezewa katika zile zaidi ya 100 walizoahidi. Sisi wakija hapa kwetu Nyankomogo Serengeti tutawapiga na mawe bure, heri wawadanganye nyie watu wa mjini kupitia maruninga yenu kwani mmenufaika sana na ccm huko mijini. Sisi huku vijijini sisiemu wakija ni kuwapiga mawe na mishare kwa udhalimu waliotufanyia tangu uhuru.
 
100% Agree! waende.

Hawawezi kwenda kwa wanainchi hivi sasa kwani zile ahadi walizoahidi hawajatekeleza hata moja na HAZITEKELEZEKI KWA BAJETI TULIYONAYO zaidi ya hapo ni kwamba hali ndio kwanzaaaa inazidi kuwa mbaya...ninachokiona sasa hivi ni serikali kuanza kutumia ulaghai wa kuwa CDM wanataka kuchafua usalama wa Taifa ili kuwanyamazisha wakisahau kuwa shida kwa wanainchi bado ziko palepale, mafisadi ni walewale na hawachukuliwi hatua, rushwa ipo palepale kiaina aina wakifikiri kuwa watu hawawaoni au hawajui nini kinaondoka ktk chungu cha taifa, sasa hivi CCM ni kipofu, kiziwi, au mvuta bange au sawa na kichaa ambaye anaweza kuuwa saa yoyote tuweni waangalifu na kujaribu kusoma uelekeo wake kwani kuna kila dalili ya wao CCM kuanzisha songombingo hilo na wakiamini kuwa wakizidiwa basi watatumia dola waliyo nayo huku wakisahau kuwa kule Misri vifaru vilipopelekwa mtaani askari waliruhusu watu wavidandie kwa shangwe na vigelegele....CCM tokeni kwenye usingizi mliopewa na mafisadi, mnatakiwa mrudi kundini kabla jua halijazama
 
Hakuna atakayeshiriki maandamano ya ccm, labda wawaahidi watu kuwa siku ya maandamano kutakuwa na usafiri wa kwenda na kurudi, na kutakuwa na chakula na vinywaji, pamoja na vizawadi vidogo vidogo kama vile khanga, t-shirt na kofia
Bila kusahau Original Komedi!
 
Wanajua namna wanavyoingia gharama wakitaka kwenda kwa wananchi kwahiyo naamini hawawezi kufanya hivyo. Kwanza wameisharopoka pumba nyingi sana za dharau kwa wananchi kupitia vymbo vya habari, wanaogopa kuzomewa.
 
Wanaogopa watazomewa. Ndiyo maana wanatafuta individuals wasemaji wanukuliwe na vyombo vya habari. CCM Kwishney kabisa!!!!!!!
 
Treni linapita upepo unawawesesha,CCM waje na hoja gani?. Watasema nini,CDM IMETEKA MAWAZO YAO.
 
Baada ya CHADEMA kumaliza ziara ya harakati za kuwaamsha wananchi kutoka kwenye lindi kali la usingizi juu ya masuala mbalimbali ikiwamo DOWANS,MABOMU YA GONGO LA MBOTO,UGUMU WA MAISHA na MFUMUKO WA BEI n.k
CCM imeibuka na kuanza kutoa shutoma nzito,zikiwamo za kukihusisha CDM na uhaini na kuhatarisha amani. makada mbalimbali wakiwamo JEYKEY,WASIRA,CHILIGATI,TENDWA nk wameibika na kukishutumu na kutoa vitisho mbalimbali.

hoja yangu kwa vile CHADEMA ilikwenda moja kwa moja kwa wananchi ikawaeleza,wakaisikiliza na wakaandamana maelfu kwa malaki. CCM badala ya kuita waandishi wa habari na kushutumu badala ya kujibu hoja, wangeenda kwa wananchi, wakawaeleza hayo katika mikutano ya hadhara.

kwa nini waende? wananchi wa salama kati(Bunda) wanaopata mlo mmoja kwa taabu,hawawezi kununua gazeti, hawawezi kununua TV kwa vile hawana hata umeme wa DOWANS. Nivyema kuwafuata huko. naamini watawajaa kwenye mikutano na kuwasikiliza hasa ukizingatia ni takribani miezi minne tu tangu CCM ilipotangazwa mshindi kwa 61%, hivyo watu wengi wanaipenda.
:hand:

Uwatakii mema CCM wanaogopa kipigo,walitega mabomu wakati wa uchaguzi kwa ahadi za uongo wanaogopa wakirudi kwa wananchi yatawalipukia.
 
Back
Top Bottom