CCM waseme,CHADEMA wathibitishe...

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,802
Uongozi mzima wa Bunge hauna maana;ni legelege na wa kipuuzi. Haiwezekani kanuni za Bunge zifuatwe tu wanapozungumza Wabunge wa CHADEMA.Mara ngapi Wabunge wa CCM na washirika wao wamewashutumu na kuwatusi wa CHADEMA? Ni juzi tu Stella aliishutumu CHADEMA kuhusika na mgomo wa madaktari na kutekwa kwa Dr. ULIMBOKA. Akaachwa. Hakutakiwa kuthibitisha. Mnyika ni kinyume. Huu ni use...Tukichoka,hapatatosha...
 
Uongozi mzima wa Bunge hauna maana;ni legelege na wa kipuuzi. Haiwezekani kanuni za Bunge zifuatwe tu wanapozungumza Wabunge wa CHADEMA.Mara ngapi Wabunge wa CCM na washirika wao wamewashutumu na kuwatusi wa CHADEMA? Ni juzi tu Stella aliishutumu CHADEMA kuhusika na mgomo wa madaktari na kutekwa kwa Dr. ULIMBOKA. Akaachwa. Hakutakiwa kuthibitisha. Mnyika ni kinyume. Huu ni use...Tukichoka,hapatatosha...


:spy: Unajua Jamaa zangu CCM ni watu dhaifu tuu awana jipya -- Huyo Stella Manyanya ni manyanya kweli kama jina lake HOPELESS - Sasa kuhusu MUGANO ukweli ni kwa hawa CCM MAFIA they will talk but wenyekufanya mauzi ni WANANCHI wenyewe na sio SERIKALI wala BUNGE. Unajua iliyotokea Kenya wakati wa Uchaguzi sio SIASA ila ni chuki na Udhaifu ya SERIKALI yao, SIASA Chafu na WIZI ya Maali ya Umma. We are not far from that and we will see the ALSHABAB hapa kwetu kwenye nyumba za hawa WABUNGE WACHAFU WIZI wa CCM walivyo iba pesa zetu za Uchungu na kuweka nje ya nchi ya kwa na mamali iliyokitiri. Kwa hivyo wawe tayari. Tutaanzia kwa watoto wao. SISI atutaki MUNGANO wasitupeleke peleke ni sisi wananchi ndio tunataka they should not detect to us. WE WILL SEE - SAUTI YA UMMA AU CCM NA SERIKALI YAKE. WAPOMBAVU WABUNGE WOTE WA CCM.
 
Vp mbona wasiwasi umeanza?jama yako hana ushahidi nini? Wabunge wenu wakae wakijua kuwa wakati wa kuropoka bila kuwa na ushahidi umekwisha.siku zote mnasema wa ccm ni wa wasiwasi sasa tuone na hao wa kwenu wako vp.
 
Vuta nkuvute jibu lipo wazi - inatafutwa angle ya kuwabana cdm. Mnyika akileta ushahidi mzito kamwe hutousikia bungeni!
 
Mbona LUKUVi akiwepo hulia lia sana mwongozo lkn bi kidude humpa nafasi sana tuu, wakisema chadema basi upuuzi mxiiii. CCM nawataarifu kabsaaa ntatumia uwezo wangu wote 2015 mpaka muanguke, nna hasira na nyie tena sana tuu
 
ndugu yangu rudisha kumbukumbu nyuma bro.Godbless Lema alileta uthibitisho Bungeni lakini mpaka sasa kimya hata kwa Mnyika itakuwa hivyo.
ì
 
Vp mbona wasiwasi umeanza?jama yako hana ushahidi nini? Wabunge wenu wakae wakijua kuwa wakati wa kuropoka bila kuwa na ushahidi umekwisha.siku zote mnasema wa ccm ni wa wasiwasi sasa tuone na hao wa kwenu wako vp.
Nilijua tu lazima vilaza mjitokeze na ***** wenu!
 
mnyika alitaka kuthibitisha rais ni dhaifu mkakataa mifano miwili tu kuonesha ni dhafu1.(wasichna wa shule wanapata mimba sababu ya kiherehere chao)2(sijui kwa nini tanzania ni dhaifu akijibu mkutanoni)la mwisho ameanguka anguka mara nyingi
Vp mbona wasiwasi umeanza?jama yako hana ushahidi nini? Wabunge wenu wakae wakijua kuwa wakati wa kuropoka bila kuwa na ushahidi umekwisha.siku zote mnasema wa ccm ni wa wasiwasi sasa tuone na hao wa kwenu wako vp.
 
idi2.jpg
 
Back
Top Bottom