VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Uongozi mzima wa Bunge hauna maana;ni legelege na wa kipuuzi. Haiwezekani kanuni za Bunge zifuatwe tu wanapozungumza Wabunge wa CHADEMA.Mara ngapi Wabunge wa CCM na washirika wao wamewashutumu na kuwatusi wa CHADEMA? Ni juzi tu Stella aliishutumu CHADEMA kuhusika na mgomo wa madaktari na kutekwa kwa Dr. ULIMBOKA. Akaachwa. Hakutakiwa kuthibitisha. Mnyika ni kinyume. Huu ni use...Tukichoka,hapatatosha...