Ndg. wanajamii mtakumbuka tangu viongozi wa waandamizi wa chama walipinga uanzishwaji katiba mpya.
Nadhani yanayotokea sasa na tangu utungwaji wa sheria yenyewe yawezekana ilipangwa kwa makusudi ili katiba ya sasa iendelee.
Kwa mantiki hiyo mpango mkakati wa CCM umefanikiwa kwa 100% na sasa katiba ya sasa inaendelea kubaki kama ilivyo ilani ya Chama.
Hongereni CCM kwa linda ilani yenu ya uchaguzi.
Nadhani yanayotokea sasa na tangu utungwaji wa sheria yenyewe yawezekana ilipangwa kwa makusudi ili katiba ya sasa iendelee.
Kwa mantiki hiyo mpango mkakati wa CCM umefanikiwa kwa 100% na sasa katiba ya sasa inaendelea kubaki kama ilivyo ilani ya Chama.
Hongereni CCM kwa linda ilani yenu ya uchaguzi.