Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Malipo ni hapa hapa duniani hivyo endeleeni kuombolezakumkosoa mbowe kibano chake ni sawa na ungemkosoa JPM
Malipo ni hapa hapa duniani hivyo endeleeni kuombolezakumkosoa mbowe kibano chake ni sawa na ungemkosoa JPM
40 imeisha?CCM has been always like that
Naona unajichetua wakati bado hujamaliza EDAWewe wakina@Mmawia unategemea wafanyaje ndo burudani ya iyo waache tu.
Maigizo yapi hayo?au ya kudharau corona kama alivyofanya MTUKUFU MALAIKA?Sema wanafanya maigizo.
Corona inaweza sana.Sincr its birth date
nyerere vs kambona..
Hili nalo neenoMmekuwa huru bungeni baada ya kifo cha magufuli la sivyo hadi 2025 mngeendelea na unafiki wenu, mshukuruni Mungu!
Waliovuruga uchaguzi wote Mungu atawaaibishaMasikini Dr Bashiru hakika analipwa kwa madhambi aliyo yafanya dhidi ya watanzania kwenye uchaguzi.
Kweli Mungu yupo siku zote na huwa analipa cash kwa muovu.
Bashiru leo hii u Dr wake unahojiwa na kibajaj?
Afu wewe binafsi ukiwa umenufaika vipi?Tuliomba Sana na kufunga Ili Mungu awaaaibishe wale wote watakaovuruga uchaguzi mkuu 2020 Mungu kasikia kilio chetu hakika ametenda , bashiru, polepole si kitu si lolote tena juu ya uso wa nchi na hawana tena ushawishi tena.
Amekuchanganya na kina kibajaj na msukumaTumekuwa huru akina nani?
Tuliwaonea wivu warundi kwa kufiwa Mungu akatendaCorona inaweza sana.
Acha undezi, usinichefue.Amekuchanganya na kina kibajaj na msukuma
Umewahi funguliwa kamba mguuni au kuwa huru baada ya kulipa madeni unajisikiaje furaha yake.Hatuna pesa tuna matumaini.Afu wewe binafsi ukiwa umenufaika vipi?
Mungu huwa daima anatoa keeshiiii na siyo ile ya kununulia bombardier bali ya kutoka kwa MunguTuliwaonea wivu warundi kwa kufiwa Mungu akatenda
Mungu usikia kilio cha wengiMungu huwa daima anatoa keeshiiii na siyo ile ya kununulia bombardier bali ya kutoka kwa Mungu
Tayari woote washachapwaWaliovuruga uchaguzi wote Mungu atawaaibisha
Kulialia kwako ndiyo manufaa yakeAfu wewe binafsi ukiwa umenufaika vipi?
Siyo mimiAcha undezi, usinichefue.
Kwa hiyo umeanza kutupangia!Mfano hili suala la akina Mzee Mdee, wanaendelea kuingia bungeni kwa kutumia jina la CDM na kukichafua chama, ni usaliti na dharau za mchana kweupe! Lakini viongozi Wa CDM wapo kimyaa, Wao busy kupambana na mtu aliyekufa. Sometimes mtu unajiuliza Hawa wapinzani tz wapo serious kweli?
Sijawahi teteleka wala kulialia nipo imara muda wote sababu sijawahi mtegemea mwana siasaKulialia kwako ndiyo manufaa yake