PreGE2025 CCM wanatengeneza "elite clique"?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
CCM kila siku tabaka lao la watawala hupiga propaganda kuwa yanayotokea Kwa wengine hapa haiwezi kutokea.

Tabaka la watawala wanaamini wamemdhibiti kila mtu na wanaona wamefanikiwa kutengeneza "zombies" wanaotetea tabaka la watawala bila ya kujijua.
 
Usisahau, JPM alitaka kuvunjilia hii kitu, ila masikini wengi hawakumwelewa.
 
Usisahau, JPM alitaka kuvunjilia hii kitu, ila masikini wengi hawakumwelewa.
ASINGEWEZA!!

Wenye chama chao kama unavoona wameshafanya mazingaombwe yao huko Dodoma.

Mnoa kisu siyo mwenye kisu😂
 
Mkuu umegusa mlemle. Hawa majitu ya CCM bila kuwa mwanaukoo au chawa, utasubiri sana kuingia kwenye mfumo.
 
ASINGEWEZA!!

Wenye chama chao kama unavoona wameshafanya mazingaombwe yao huko Dodoma.

Mnoa kisu siyo mwenye kisu😂
Alishindwa mpaka kifo. Usisahau Afande RPC Nchimbi alikuwa kigogo wa CCM ukumbuke na sasa kijana wake anakuwa Makamu wa Rais.
 
Mkuu umegusa mlemle. Hawa majitu ya CCM bila kuwa mwanaukoo au chawa, utasubiri sana kuingia kwenye mfumo.
Kuna misukule Yao haijastuka. Utasikia yule Mkuu wa mkoa fulani mbona hana ukoo na waliokuwa viongozi?

Wanajisahaulisha kuwa hata hao wengine wanapewa nyadhifa walizo nazo Kwa kujikomba, kuwa wapambe, kukubali utumwa wa fikra, na zaidi ya yote kukubali kuwa daraja la pili la watu ndani ya CCM.
 
Alishindwa mpaka kifo. Usisahau Afande RPC Nchimbi alikuwa kigogo wa CCM ukumbuke na sasa kijana wake anakuwa Makamu wa Rais.
Tena nimesoma kitabu chake kimoja kikielezea mambo ya falsafa. Zama hizo.

Wenyewe CCM watasema maji hufuata mkondo.
 
Ulaya kulikuwa na malkia mmoja alikuwa mjinga hivi. Aliulza ni kwa nini watu wa nchi yake wanaandamana, wasaidizi wake wakamwambia ni kwa kuwa hawana mikate. Yule malkia mjinga akajibu kirahisi tu, "si wale keki?"

Ujinga hauna kwao kila mahali upo.
Sasa huo mfano wa kijinga kabisa umegusia lolote kuhusu swali husika la hoja zenu chadema ni zipi haswa?!!! Maana naona mnakesha mitandaoni humu kupiga kelele zisizoeleweka......yaani nyie ni kelele tu. Mi nawazungumzia chadema ambao ni kama laki 7 hiv kwa sasa nchi mzima, siwazungumziii wananchi ambao wako busy kutafuta mikate yao ya Kila siku kupitia miundombinu na mifumo imara ya kiuchumi liyowekwa na mama Samia, The Mother of Modern Tanzania
 
Hao CHADEMA laki saba siyo wananchi? Nyie ndiyo wale mnaopendwa na tabaka tawala. Mko kama Nyuki wa mashineni.
 
siyo kazi ambayo Kila mmoja anaweza ifanya.
 
Hivi Waziri wa mambo ya nchi za nje ni mtoto wa Marehemu Sheikh Thabit Kombo?
 
 

Attachments

  • IMG_8869.jpeg
    53.9 KB · Views: 9
Hapo nimeandika kwa ufupi sana huku nikiwa shambani
Ni kweli maana siku hizi chawa mlioko kwenye ofisi za ccm huwa mnasema mko shambani, na sababu hasa ni fedha za kuuza bandari mnarushiwa makombo ili mtetee majizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…