kson m
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 6,682
- 3,066
Nimekuwa nafuatilia mikutano ya mheshimiwa Magufuli kwa muda sasa. Nilichogundua ni kwamba utitiri wa wapiga kampeni wake hawana hoja zaidi ya kuporomosha zile ngonjera za matusi kwa mh LOWASSA na Sumaye. Jipya nililoona ni kibwagizo cha kuvua miwani au kutokuvua.
CCM ilichagua wehu au ndivyo CCM ilivyo? Magufuli una hali mbaya, sitisha kampeni katafute wapiga debe watakaokunusuru. Umetelekezwa ili ulizike hilo lichama peke yako. Pole sana mh Magufuli.Vinginevyo zungumza vizuri na mh Rais LOWASSA anaweza akakutupia kawizara.
CCM ilichagua wehu au ndivyo CCM ilivyo? Magufuli una hali mbaya, sitisha kampeni katafute wapiga debe watakaokunusuru. Umetelekezwa ili ulizike hilo lichama peke yako. Pole sana mh Magufuli.Vinginevyo zungumza vizuri na mh Rais LOWASSA anaweza akakutupia kawizara.